Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,319
Inashangaza kuona wasomi wengi wa vyuo vikuu wanaadhimisha kifo cha Kanumba kwa ushawishi kutoka redio ya watu, lakini sijawaona miongoni mwao wakiadhimisha kifo cha Profesa Haroub Othman, au haya marehemu Chacha Wangwe.
Anyways, kama msomi huna tofauti na mcheza kiduku katika kufikiri na vipaumbele vyako, lazima tuisikitikie kodi ya mwananchi unayosomeshwa nayo, unayolewea, kuvaa vizuri kama msanii na kufanyia starehe munazoita 'bata'.
Nataraji siku moja serikali itaona umuhimu wa kupeleka hili fungu kusomesha wataalamu wa ukweli huko VETA na vyou vinginevyo vya ufundi vinavyozalisha wafanyakazi kuliko hivi vinavyotoa matozi na masista duu.
Anyways, kama msomi huna tofauti na mcheza kiduku katika kufikiri na vipaumbele vyako, lazima tuisikitikie kodi ya mwananchi unayosomeshwa nayo, unayolewea, kuvaa vizuri kama msanii na kufanyia starehe munazoita 'bata'.
Nataraji siku moja serikali itaona umuhimu wa kupeleka hili fungu kusomesha wataalamu wa ukweli huko VETA na vyou vinginevyo vya ufundi vinavyozalisha wafanyakazi kuliko hivi vinavyotoa matozi na masista duu.