Wasomi: Hii ina maana gani!

Wasomi: Hii ina maana gani!

MR LINKO

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
3,034
Reaction score
3,526
Nimeona nikasema niwashirikishe labda inaweza kuwa fursa..
286010216_3067793650153104_8435855000598377611_n.jpg
 
Hiyo sawa na mtu akwambie,Jichanganye hapo!!!
 
mi nikajua ukimgusa ana kulipaa
 
daa hawa jamaa wanakuwa na mabango sana kwene vyuma vyao eti magari
 
Yuu wapi Bwana Yule alitawala dar kama mfalme apige marufuku haya matishio?
 
Mimi siyo msomi ila nimeona air na bag nikajua hapa tayari tunapokea ndege mpya aina airbag badala ya airtanzania
 
Back
Top Bottom