Wasomi kanisa katoliki wachambua rasimu ya katiba

Wasomi kanisa katoliki wachambua rasimu ya katiba

Joined
Jun 21, 2013
Posts
47
Reaction score
29
Amani iwe kwenu,

Wana jf leo nikiwa kanisa katoliki lilipo huku njiro katika misa ya kwanza tumetangaziwa kwamba wasomi wa kanisa katoliki wameipitia na kuichambua kwa umakini rasimu ya kwanza ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania na kutoa mapendekezo kadhaa. Tangazo hilo lilo elezewa kwa ufasaha na padri aliyeongoza misa hiyo lina wataka waumini wa parokia hii kushiriki kikamilifu katika maoni ya kuwasilishwa kwa tume ya mzee Warioba.

Katika utaratibu ambao kanisa limejipangia ni kwamba viongozi wa jumuiya tofauti watachukua maoni hayo ya wasomi wa kanisa katoliki na kuwapelekea waumini katika jumuiya zao, katika jumuiya hizo waumini watatakiwa kuyasoma na kutoa maoni yao mengine kisha yatakusanywa na kurudishwa parokiani, mwisho wa kuwasilishwa kwa maoni hayo ya jumuiya yatakua ni tarehe 10/7/2013.

Kila parokia itayachambua maoni hayo na kuyawasilisha jimboni, jimboni nako wataalamu watakaa na kuyachambua kisha kuyawasilisha taifani mwisho wa kuwasilisha maoni hayo taifani itakuwa tarehe 10/8/2013. Kwa sababu na mie na mwanajumuiya nitajitahidi kuwapa yale yaliyopo katika maoni hayo ya wasomi hawa wa kanisa katoliki, lakini kwa wana jf naomba tutembelee website ya TEC ili kuipata ishu hii kwa uzuri zaidi.

Kanisa katoliki limefikia hatua hii wakati chama kikuu cha upinzani CHADEMA kikiwa bado hakija onyesha msimamo wao kama chama kuhusu rasimu hiyo ya katiba licha ya kwamba viongozi wake wakuu kadhaa kwa nyakati tofauti wakionyeshwa kuridhishwa na baadhi ya mambo mfano uwepo wa serikali tatu huku mh. Mbowe akisema hawajakubaliana na baadhi mambo kabisa na watayapinga kwa nguvu zote, ccm wenyewe bado wanakusanya maoni ya wanachama wao kupitia mabaraza yatakayo undwa na chama chao na bado hatujajua nini msimamo wa cuf na vyama vingine vya siasa mfu ukiondoa nccr- mageuzi yenye uhai wa kiasi. Natoa wito kwa wakatoliki wote kushiriki katika mchakato huu ambao unatengeneza mustakabali wa nchi yetu.

My take;

Kesi wanazo bambikiziwa Chadema na serikali zinalenga kutuondolea utulivu chadema katika ushiriki wao katika mchakato huu muhimu kwa nchi yetu hasa ikizingatiwa kwamba wanasheria wa chadema wako bize kushugurikia kesi za makamanda wetu. MUNGU IBARiKI TANZANIA na kutuondolea hili jinamizi liitwalo ccm na viongoze wake.
 
Katiba mpya yenye mashiko ni ndoto chini ya utawala wa ccm
 
Am sorry, but this is idiotic.

Hapa muktadha ni CDM, CCM na CUF au Roman Catholic Church?

You are talking as if RC nacho ni chama cha siasa. Ngoja nikapate viroba nisome upya labda nitaelewa. Mara nyingine ni vyema msomaji na mwandishi wawe katika hali moja ili waelewane. Kwa hapa nikiwa sober ni ngumu.
 
Amani iwe kwenu.......
Wana jf leo nikiwa kanisa katoliki lilipo huku njiro katika misa ya kwanza tumetangaziwa kwamba wasomi wa kanisa katoliki wameipitia na kuichambua kwa umakini rasimu ya kwanza ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania na kutoa mapendekezo kadhaa. Tangazo hilo lilo elezewa kwa ufasaha na padri aliyeongoza misa hiyo lina wataka waumini wa parokia hii kushiriki kikamilifu katika maoni ya kuwasilishwa kwa tume ya mzee Warioba. Katika utaratibu ambao kanisa limejipangia ni kwamba viongozi wa jumuiya tofauti watachukua maoni hayo ya wasomi wa kanisa katoliki na kuwapelekea waumini katika jumuiya zao, katika jumuiya hizo waumini watatakiwa kuyasoma na kutoa maoni yao mengine kisha yatakusanywa na kurudishwa parokiani, mwisho wa kuwasilishwa kwa maoni hayo ya jumuiya yatakua ni tarehe 10/7/2013. Kila parokia itayachambua maoni hayo na kuyawasilisha jimboni, jimboni nako wataalamu watakaa na kuyachambua kisha kuyawasilisha taifani mwisho wa kuwasilisha maoni hayo taifani itakuwa tarehe 10/8/2013. Kwa sababu na mie na mwanajumuiya nitajitahidi kuwapa yale yaliyopo katika maoni hayo ya wasomi hawa wa kanisa katoliki, lakini kwa wana jf naomba tutembelee website ya TEC ili kuipata ishu hii kwa uzuri zaidi. Kanisa katoliki limefikia hatua hii wakati chama kikuu cha upinzani CHADEMA kikiwa bado hakija onyesha msimamo wao kama chama kuhusu rasimu hiyo ya katiba licha ya kwamba viongozi wake wakuu kadhaa kwa nyakati tofauti wakionyeshwa kuridhishwa na baadhi ya mambo mfano uwepo wa serikali tatu huku mh. Mbowe akisema hawajakubaliana na baadhi mambo kabisa na watayapinga kwa nguvu zote, ccm wenyewe bado wanakusanya maoni ya wanachama wao kupitia mabaraza yatakayo undwa na chama chao na bado hatujajua nini msimamo wa cuf na vyama vingine vya siasa mfu ukiondoa nccr- mageuzi yenye uhai wa kiasi. Natoa wito kwa wakatoliki wote kushiriki katika mchakato huu ambao unatengeneza mustakabali wa nchi yetu.
My take; kesi wanazo bambikiziwa Chadema na serikali zinalenga kutuondolea utulivu chadema katika ushiriki wao katika mchakato huu muhimu kwa nchi yetu hasa ikizingatiwa kwamba wanasheria wa chadema wako bize kushugurikia kesi za makamanda wetu. MUNGU IBARiKI TANZANIA na kutuondolea hili jinamizi liitwalo ccm na viongoze wake.

Mbona hoja ya kanisa umeichanganya na masuala ya CHADEMA,
 
Amani iwe kwenu.......
Wana jf leo nikiwa kanisa katoliki lilipo huku njiro katika misa ya kwanza tumetangaziwa kwamba wasomi wa kanisa katoliki wameipitia na kuichambua kwa umakini rasimu ya kwanza ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania na kutoa mapendekezo kadhaa. Tangazo hilo lilo elezewa kwa ufasaha na padri aliyeongoza misa hiyo lina wataka waumini wa parokia hii kushiriki kikamilifu katika maoni ya kuwasilishwa kwa tume ya mzee Warioba. Katika utaratibu ambao kanisa limejipangia ni kwamba viongozi wa jumuiya tofauti watachukua maoni hayo ya wasomi wa kanisa katoliki na kuwapelekea waumini katika jumuiya zao, katika jumuiya hizo waumini watatakiwa kuyasoma na kutoa maoni yao mengine kisha yatakusanywa na kurudishwa parokiani, mwisho wa kuwasilishwa kwa maoni hayo ya jumuiya yatakua ni tarehe 10/7/2013. Kila parokia itayachambua maoni hayo na kuyawasilisha jimboni, jimboni nako wataalamu watakaa na kuyachambua kisha kuyawasilisha taifani mwisho wa kuwasilisha maoni hayo taifani itakuwa tarehe 10/8/2013. Kwa sababu na mie na mwanajumuiya nitajitahidi kuwapa yale yaliyopo katika maoni hayo ya wasomi hawa wa kanisa katoliki, lakini kwa wana jf naomba tutembelee website ya TEC ili kuipata ishu hii kwa uzuri zaidi. Kanisa katoliki limefikia hatua hii wakati chama kikuu cha upinzani CHADEMA kikiwa bado hakija onyesha msimamo wao kama chama kuhusu rasimu hiyo ya katiba licha ya kwamba viongozi wake wakuu kadhaa kwa nyakati tofauti wakionyeshwa kuridhishwa na baadhi ya mambo mfano uwepo wa serikali tatu huku mh. Mbowe akisema hawajakubaliana na baadhi mambo kabisa na watayapinga kwa nguvu zote, ccm wenyewe bado wanakusanya maoni ya wanachama wao kupitia mabaraza yatakayo undwa na chama chao na bado hatujajua nini msimamo wa cuf na vyama vingine vya siasa mfu ukiondoa nccr- mageuzi yenye uhai wa kiasi. Natoa wito kwa wakatoliki wote kushiriki katika mchakato huu ambao unatengeneza mustakabali wa nchi yetu.
My take; kesi wanazo bambikiziwa Chadema na serikali zinalenga kutuondolea utulivu chadema katika ushiriki wao katika mchakato huu muhimu kwa nchi yetu hasa ikizingatiwa kwamba wanasheria wa chadema wako bize kushugurikia kesi za makamanda wetu. MUNGU IBARiKI TANZANIA na kutuondolea hili jinamizi liitwalo ccm na viongoze wake.
kweli huwezi itenganisha chadema na kanisa katoliki.Asante ndugu kwa kutusaidia.Msimamo wa kanisa katoliki hauwezi tofautiana na chadema.Subiri mtaona
 
kweli huwezi itenganisha chadema na kanisa katoliki.Asante ndugu kwa kutusaidia.Msimamo wa kanisa katoliki hauwezi tofautiana na chadema.Subiri mtaona

FICHA UPUMBAVU WAKO!!! Tatizo unakurupuka ku quote hata huelewi ulichoki quote!
 
Umeongea vizuri Sana na Asante kwa taarifa zako zote mbili, moja kuhusu kanisa katoliki mimimkama
Mkatoliki nitajitahidi kusoma vzr Kule wasomi wetu wamependekeza! Pili kuhusu chadema hapo ndio umekosea kuweka taarifa mbili
Kwa wakati mmoja hapo unaonyesha catholic inafungana na chadema jambo ambalo sio
Kweli na wewe sio nia yako japo itasomeka hivo!! Siku nyingine jaribu kutenganisha mawazo yako!!hata Kama maudhui ni ya aina moja!!
 
Name juzi nilikuwa baraza LA maaskofu kurasini niliwaona maaskofu wait oka kwenye kikao cha kujadili mustakabali was katiba mpya
 
Mosses Mashili

Koma kuchanganya imani za watu na uhuni wa kisiasa.

Unataka kutuambia chadema = Chama cha kidini?

Hii ni posti ya pili naiona ukichanganya mambo ya wakristu na chadema

Hebu tuambie

katika kujadili kwako kwanini huwataji wala kuwashirikisha

a) waislamu ambao ni wengi kabisa hapa tanzania kama ilivyo kwa wakristu

b) wapagani ambao pia ni wengi kabisa kama ilivyo kwa wakristu

c) wahindu na imani zingine zenye idadi ya watu walio wastani


Acha propaganda za kitoto na kijinga

Amani iwe kwenu,

Wana jf leo nikiwa kanisa katoliki lilipo huku njiro katika misa ya kwanza tumetangaziwa kwamba wasomi wa kanisa katoliki wameipitia na kuichambua kwa umakini rasimu ya kwanza ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania na kutoa mapendekezo kadhaa. Tangazo hilo lilo elezewa kwa ufasaha na padri aliyeongoza misa hiyo lina wataka waumini wa parokia hii kushiriki kikamilifu katika maoni ya kuwasilishwa kwa tume ya mzee Warioba.

Katika utaratibu ambao kanisa limejipangia ni kwamba viongozi wa jumuiya tofauti watachukua maoni hayo ya wasomi wa kanisa katoliki na kuwapelekea waumini katika jumuiya zao, katika jumuiya hizo waumini watatakiwa kuyasoma na kutoa maoni yao mengine kisha yatakusanywa na kurudishwa parokiani, mwisho wa kuwasilishwa kwa maoni hayo ya jumuiya yatakua ni tarehe 10/7/2013.

Kila parokia itayachambua maoni hayo na kuyawasilisha jimboni, jimboni nako wataalamu watakaa na kuyachambua kisha kuyawasilisha taifani mwisho wa kuwasilisha maoni hayo taifani itakuwa tarehe 10/8/2013. Kwa sababu na mie na mwanajumuiya nitajitahidi kuwapa yale yaliyopo katika maoni hayo ya wasomi hawa wa kanisa katoliki, lakini kwa wana jf naomba tutembelee website ya TEC ili kuipata ishu hii kwa uzuri zaidi.

Kanisa katoliki limefikia hatua hii wakati chama kikuu cha upinzani CHADEMA kikiwa bado hakija onyesha msimamo wao kama chama kuhusu rasimu hiyo ya katiba licha ya kwamba viongozi wake wakuu kadhaa kwa nyakati tofauti wakionyeshwa kuridhishwa na baadhi ya mambo mfano uwepo wa serikali tatu huku mh. Mbowe akisema hawajakubaliana na baadhi mambo kabisa na watayapinga kwa nguvu zote, ccm wenyewe bado wanakusanya maoni ya wanachama wao kupitia mabaraza yatakayo undwa na chama chao na bado hatujajua nini msimamo wa cuf na vyama vingine vya siasa mfu ukiondoa nccr- mageuzi yenye uhai wa kiasi. Natoa wito kwa wakatoliki wote kushiriki katika mchakato huu ambao unatengeneza mustakabali wa nchi yetu.

My take;

Kesi wanazo bambikiziwa Chadema na serikali zinalenga kutuondolea utulivu chadema katika ushiriki wao katika mchakato huu muhimu kwa nchi yetu hasa ikizingatiwa kwamba wanasheria wa chadema wako bize kushugurikia kesi za makamanda wetu. MUNGU IBARiKI TANZANIA na kutuondolea hili jinamizi liitwalo ccm na viongoze wake.
 
Msimamo wa kanisa la chadema?? mbona umemix mno? mwisho umeanza kuiponda CUF, he!!!!! kweli Chadema haitenganishwi na kanisa. Asante sana kwa maoni.
 
Umeongea vizuri Sana na Asante kwa taarifa zako zote mbili, moja kuhusu kanisa katoliki mimimkama
Mkatoliki nitajitahidi kusoma vzr Kule wasomi wetu wamependekeza! Pili kuhusu chadema hapo ndio umekosea kuweka taarifa mbili
Kwa wakati mmoja hapo unaonyesha catholic inafungana na chadema jambo ambalo sio
Kweli na wewe sio nia yako japo itasomeka hivo!! Siku nyingine jaribu kutenganisha mawazo yako!!hata Kama maudhui ni ya aina moja!!

Hawezi kutenganisha hivi vitu kaka. Amesema yaliyoafikiwa ikiwemo kuikumbusha cdm isisahau kutimiza wajibu wake.
 
Am sorry, but this is idiotic.

Hapa muktadha ni CDM, CCM na CUF au Roman Catholic Church?

You are talking as if RC nacho ni chama cha siasa. Ngoja nikapate viroba nisome upya labda nitaelewa. Mara nyingine ni vyema msomaji na mwandishi wawe katika hali moja ili waelewane. Kwa hapa nikiwa sober ni ngumu.
KLwa hiyo we unaamini wenye haki ya kujadili katiba ni vyama vya siasa tu?
 
Amani iwe kwenu,

Wana jf leo nikiwa kanisa katoliki lilipo huku njiro katika misa ya kwanza tumetangaziwa kwamba wasomi wa kanisa katoliki wameipitia na kuichambua kwa umakini rasimu ya kwanza ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania na kutoa mapendekezo kadhaa. Tangazo hilo lilo elezewa kwa ufasaha na padri aliyeongoza misa hiyo lina wataka waumini wa parokia hii kushiriki kikamilifu katika maoni ya kuwasilishwa kwa tume ya mzee Warioba.

Katika utaratibu ambao kanisa limejipangia ni kwamba viongozi wa jumuiya tofauti watachukua maoni hayo ya wasomi wa kanisa katoliki na kuwapelekea waumini katika jumuiya zao, katika jumuiya hizo waumini watatakiwa kuyasoma na kutoa maoni yao mengine kisha yatakusanywa na kurudishwa parokiani, mwisho wa kuwasilishwa kwa maoni hayo ya jumuiya yatakua ni tarehe 10/7/2013.

Kila parokia itayachambua maoni hayo na kuyawasilisha jimboni, jimboni nako wataalamu watakaa na kuyachambua kisha kuyawasilisha taifani mwisho wa kuwasilisha maoni hayo taifani itakuwa tarehe 10/8/2013. Kwa sababu na mie na mwanajumuiya nitajitahidi kuwapa yale yaliyopo katika maoni hayo ya wasomi hawa wa kanisa katoliki, lakini kwa wana jf naomba tutembelee website ya TEC ili kuipata ishu hii kwa uzuri zaidi.

Kanisa katoliki limefikia hatua hii wakati chama kikuu cha upinzani CHADEMA kikiwa bado hakija onyesha msimamo wao kama chama kuhusu rasimu hiyo ya katiba licha ya kwamba viongozi wake wakuu kadhaa kwa nyakati tofauti wakionyeshwa kuridhishwa na baadhi ya mambo mfano uwepo wa serikali tatu huku mh. Mbowe akisema hawajakubaliana na baadhi mambo kabisa na watayapinga kwa nguvu zote, ccm wenyewe bado wanakusanya maoni ya wanachama wao kupitia mabaraza yatakayo undwa na chama chao na bado hatujajua nini msimamo wa cuf na vyama vingine vya siasa mfu ukiondoa nccr- mageuzi yenye uhai wa kiasi. Natoa wito kwa wakatoliki wote kushiriki katika mchakato huu ambao unatengeneza mustakabali wa nchi yetu.

My take;

Kesi wanazo bambikiziwa Chadema na serikali zinalenga kutuondolea utulivu chadema katika ushiriki wao katika mchakato huu muhimu kwa nchi yetu hasa ikizingatiwa kwamba wanasheria wa chadema wako bize kushugurikia kesi za makamanda wetu. MUNGU IBARiKI TANZANIA na kutuondolea hili jinamizi liitwalo ccm na viongoze wake
.

quote_icon.png
By Mosses Mashili
Ikiwa leo siku ya jumapili naomba nianze kuwasalimu wana jf kwa kusema
tumsifu Yesu kristo,
wana jf, jana juma mosi ya tarehe 29/6/2013
wanachadema
wa Arusha tulijitokeza kwa wingi katika ofisi za chama maeneo ya Ngarenaro ili kwenda kuwaona makamanda wenzetu waliopata madhara kutokana na matukio ya kigaidi yaliyotokeo katika viwanja vya soweto. Binafsi katika msafara wetu uliongozwa na mwenyekiti wa
mkoa kamanda MWigamba, tulienda kuwatembelea wagonjwa katika kata ya Elerai ambayo ni moja kati ya kata nne zilizokuwa zinakabiliwa na uchaguzi mdogo wa madiwani, tofauti na mategemeo yangu wananchi wengi walitushangilia sana na kuonyesha ile alama ya V kuonyesha ushindi na kuonyesha kwamba bado wako imara. Katika wagonjwa tisa waliopo katika kata hiyo tulifanakiwa kuwatembelea wagonjwa sita tu, kwani wengine hatukuonana nao kutakana na sababu mbalimbali ikiwamo kusafiri. Kilicho nishangaza zaidi ni pale niliposikia wananchi wakisema " da chadema wanapendwa yaani wanakuja kukutembelewa wengi hivi na gari la chama" huku wengine wakisema eti " mh..... Utafikiri ningekuwa ndo mimi nimeumia nije kutembelewa na wanachadema, siku nyingine na mimi ntaenda ili nikpigwa na mabomu nije kutembelewa". Ndugu zangu hayo ni baadhi tu ya yaliyosemwa na wakazi wa kata ya Elerai, wagonjwa wote tuliowatembelea walionekana kutokata tamaa kabisa katika harakati za kumuondoa huyu mkoloni mweusi(ccm) walihimiza viongozi kuendelea kusimamia ukweli kwa gharama yoyote hata ya uhai huku wakisema .....sisi tumepigwa mabomu kwenye mkutano wa amani kabisa, polisi wakaturushia risasi,wengine wakapigwa virungu na polisi kwa sababu ya kutafuta maisha yenye matumaini kwa watoto wetu na wajukuu zetu...... Hali ni tofauti na mategemeo yalivyo kwa upande wa serikali, jeshi la polisi na ccm watu wameendelea kuwachukia na kuwaona kama ndio wavuruga amani ya nchi yetu.
My take; amani ya nchi hii inavurugwa na ccm, itamalizwa kabisa na umasikini wa watanzania


Kwahiyo unatuona machizi kwa kutuletea siasa za kimwigulu hapa?

Huku kanisa

Kule chadema

Mkuu kuwa mstaarabu.
 
kwa sababu kanisa katoliki ccm na chadema ni wamoja, ndio maana akachanganya na akasifia
 
ukweli huwa haufichiki chadema ni kanisa na kanisa ni chadema, hata mkiwaziba watu midomo vipi watasema na haya tayari yamejidhihieisha siku nyingi, Maaskofu wanajadili ili kuona ikiwa memorandum of understanding between church and government will be safe guarded under the new constitution.
 
Back
Top Bottom