Wasomi kanisa katoliki wachambua rasimu ya katiba

Wasomi kanisa katoliki wachambua rasimu ya katiba

Naona kanisa na Chadema ... Msimamo wa kanisa msimamo ya cdm ...


Tulisema na ntaendelea kusema muislam mwenye kujitambua atakaa mbali na Chadema ..

Chadema kumejaa udini " anti.muslims"
 
acheni mambo ya udini, jadilini maandalizi ya utoaji wa maoni. kanisa katoliki kama taasisi nyingine iwe pentekoste, sabato, anglikana, lutheran na hata waislam wote wana haki ya kutoa maoni yao kama taasisi huru. sasa haya mambo ya kusema chadema na katoliki/ukristo mnayatoa wapi? kama wewe ni muislamu na unaona huwezi kutoa maoni yako kupitia chama chako basi nenda ukapitishie maoni yako kwenye dhehebu lako.
 
Naona kanisa na Chadema ... Msimamo wa kanisa msimamo ya cdm ...


Tulisema na ntaendelea kusema muislam mwenye kujitambua atakaa mbali na Chadema ..

Chadema kumejaa udini " anti.muslims"

unamamavi ww.
 
Kutoa maoni khs katiba ni jambo muhimu sn kwa kila mtu.
 
Naona kanisa na Chadema ... Msimamo wa kanisa msimamo ya cdm ...


Tulisema na ntaendelea kusema muislam mwenye kujitambua atakaa mbali na Chadema ..

Chadema kumejaa udini " anti.muslims"

inatosha kusema ww ni mwe.hu
 
Naona kanisa na Chadema ... Msimamo wa kanisa msimamo ya cdm ...


Tulisema na ntaendelea kusema muislam mwenye kujitambua atakaa mbali na Chadema ..

Chadema kumejaa udini " anti.muslims"

mbona hata kina ponda wametoa maoni yao na moja ya mapendekezo ni kuwa askari wa kike waislamu waanze kuvaaa hijabu
 
Back
Top Bottom