Wasomi, mainjinia, wanazuoni wetu mliopo ndani ya Serikali yetu mmelishindwa suala la umeme?

Wasomi, mainjinia, wanazuoni wetu mliopo ndani ya Serikali yetu mmelishindwa suala la umeme?

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
It's a shame! Umeme wa uhakika ndio unaleta maendeleo katika taifa lolote lile ulimwenguni, kabla ya kushughulikia na lolote lile taifa au mataifa huuimarisha umeme wake ndipo mengine hufuata, je wanazuoni wetu wameshindwa kutatua hili? Nashauri tupunguze kasi kwenye mengine na tuimarishe hili kwanza.

Tunayo uranium tujenge kinu salama. Siuamini umeme utokanao na maji kwa 100%.kwa sababu tabia nchi inaweza kuuathiri mfumo wa maji.

-Kinu salama kinatengenezwa kwa mfumo wa fusion na sio vya kizamani vya fission,kwani mfumo wa fusion hauzalishi taka hatari.

“I think modern nuclear power plants are safe contrary to what people may think,” the Tesla and SpaceX CEO said.

TUTUMIE UZI HUU KWA USAIDIZI WA WAJUZI MBALI MBALI KUONA LABDA TUNAWEZA KUSAIDIA BONGOLALA!
 
It's a shame! Umeme wa uhakika ndio unaleta maendeleo katika taifa lolote lile ulimwenguni, kabla ya kushughulikia na lolote lile taifa au mataifa huuimarisha umeme wake ndipo mengine hufuata, je wanazuoni wetu wameshindwa kutatua hili? Nashauri tupunguze kasi kwenye mengine na tuimarishe hili kwanza.

Tunayo uranium tujenge kinu salama. Siuamini umeme utokanao na maji kwa 100%.
Kwa sasa tunatafuta pesa za uchaguzi. Mambo ya umeme sijui uranium mtajua wenyewe
 
It's a shame! Umeme wa uhakika ndio unaleta maendeleo katika taifa lolote lile ulimwenguni, kabla ya kushughulikia na lolote lile taifa au mataifa huuimarisha umeme wake ndipo mengine hufuata, je wanazuoni wetu wameshindwa kutatua hili? Nashauri tupunguze kasi kwenye mengine na tuimarishe hili kwanza.

Tunayo uranium tujenge kinu salama. Siuamini umeme utokanao na maji kwa 100%.
ikisemekana mapema kuwa,

waziri MweziwaKwanza alikua anahujumiwa na waziri mkubwa ili asionekane ana pafomu zaidi yake.

Huyu Todo Tobike waziri mkubwa kidogo anahujumiwa zaidi ili nae asionekane anapafomu kuliko waziri mkubwa.
This is politics bana
 
Umeme unasimamiwa na Wanasiasa ambao wengi wao wajue kusoma na kuandika ndio wanapitisha sheria za Tozo huko Bungeni na Makampuni ya kitapeli kwenye Shirika la Tanesco ndio maana tatizo la umeme halitaisha Tanzania leo wala kesho gesi wamegawa bure ambayo ingesaidia kupunguza machungu ya umeme wakati huo huo Makaa ya Mawe ambayo yanaweza kusaidia kuzalisha umeme sisi tupo busy kuyauza kwa bei ndogo tu harafu leo tutegemee kutatua tatizo la umeme kwa akili hizo...
 
Umeme unasimamiwa na Wanasiasa ambao wengi wao wajue kusoma na kuandika ndio wanapitisha sheria za Tozo huko Bungeni na Makampuni ya kitapeli kwenye Shirika la Tanesco ndio maana tatizo la umeme halitaisha Tanzania leo wala kesho gesi wamegawa bure ambayo ingesaidia kupunguza machungu ya umeme wakati huo huo Makaa ya Mawe ambayo yanaweza kusaidia kuzalisha umeme sisi tupo busy kuyauza kwa bei ndogo tu harafu leo tutegemee kutatua tatizo la umeme kwa akili hizo...
Resources zote za stable electric tunazo hapahapa, lakini bado tunalia, it could be hatuna akili au tusemaje?
 
Resources zote za stable electric tunazo hapahapa, lakini bado tunalia, it could be hatuna akili au tusemaje?
Hatuna akili na Ubongo umedumaa kazi kujisifia tuu harafu hakuna kitu tunafanya kwa ajili ya Taifa maana hata hao watoa maamuzi ndio kabisaa kweli Tanzania yenye maji,makaa ya kutosha na Gesi 2023 hatuna Umeme?
 
KIZIMKAZI hana muda YY nikudalalia bandari yetu kwa mikataba mibovu
 
It's a shame! Umeme wa uhakika ndio unaleta maendeleo katika taifa lolote lile ulimwenguni, kabla ya kushughulikia na lolote lile taifa au mataifa huuimarisha umeme wake ndipo mengine hufuata, je wanazuoni wetu wameshindwa kutatua hili? Nashauri tupunguze kasi kwenye mengine na tuimarishe hili kwanza.

Tunayo uranium tujenge kinu salama. Siuamini umeme utokanao na maji kwa 100%.kwa sababu tabia nchi inaweza kuuathiri mfumo wa maji.

-Kinu salama kinatengenezwa kwa mfumo wa fusion na sio vya kizamani vya fission,kwani mfumo wa fusion hauzalishi taka hatari.

“I think modern nuclear power plants are safe contrary to what people may think,” the Tesla and SpaceX CEO said.

TUTUMIE UZI HUU KWA USAIDIZI WA WAJUZI MBALI MBALI KUONA LABDA TUNAWEZA KUSAIDIA BONGOLALA!

Tofautisha wasomi na serekale ya CCM. Kwani CAG anasema je kuhusu Yale ma trillioni yakiwamo yale 1.5 ya lile jembe letu la usukumani?
 
IMG_3194.jpg

Wabongo [emoji31][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1373]
 
Uwezo wa kuzalisha ukitoa mahitaji unabaki na nini? Hamna usomi kwenye hili... kama unahitaji 100 na unatengeneza 70, hamna usomi hapo. Tafuta hizo 30 maisha yaendelee
 
Wasomi wako njema tatizo decision makers.
Hivi hii gesi wanataka kuwapa waarabu Kama walivyozoea? Nchi Kama Qatar inabebwa na gesi sisi yakwetu Ni ya kazi gani?
Tunahangaika stieglers gorge wakati Mtwara na kilwa Kuna gesi ya kumwaga.
 
Back
Top Bottom