Wasomi Mzumbe University mmekosa viwango mazishi ya Dkt. Kamala

Wasomi Mzumbe University mmekosa viwango mazishi ya Dkt. Kamala

Sijui magazeti ya Udaku yamepungua..., Naona siku hizi misiba ishageuka kuwa entertainment yaani watu wana-tune / wanakwenda ili kufanya uchunguzi...,

Binafsi nashangaa sababu kwa sasa entertainment ni nyingi kuliko hapo nyuma
 
Hauna tofauti na mbwa Koko raba inashida gani, kuna uniform za mazishi mbwa wewe? Acheni ufala umekosa content
 
Hauna tofauti na mbwa Koko raba inashida gani, kuna uniform za mazishi mbwa wewe? Acheni ufala umekosa content
Kwa vile umeenda negative nikukumbushe tu kama ulikuwa hujui, mbwa koko ni mamaako, the bitch.
Kama uko so shallow kutoelewa maana ya standards unahalalisha u bitch offspring wako.
 
Watu wa aina hiyo ndiyo waleee ukiwakuta ofisini hawakuhudumii kwakuwa tu hujavaa watakavyo wao, hapo angekuwa mzungu wasingehoji
Wajinga waahedi, mnalalamika kwa nini miji na nchi ni chafu halafu mwenyewe unanuka hujafua chupi wiki.
Ukiridhika na kukosa viwango ujue elimu haijakusaidia.
 
hivi kwann idara ya tehama asipewe huyu musabila wakamtoa nankumpeleka library

jamaa upande wa comp science ilikuwa ni hatare sana enzi zake anauwezo mkubwa sana

na mke wake kuna siku atalamba shavu hata ukatibu ni mtu sana inapokuja swala la uchumi
 
Watu wa aina hiyo ndiyo waleee ukiwakuta ofisini hawakuhudumii kwakuwa tu hujavaa watakavyo wao, hapo angekuwa mzungu wasingehoji
Hahahahaha..kwa mzungu wangesema mzungu sio mtu wakuvaa vzr
 
View attachment 2908713
Katika ibada ya mazishi ya Dkt. Kamala, wasomi wenziwe waliamua kuvaa full Academic gear kuonesha usomi wa marehemu Dkt. Diodorus Kamala. Sasa msomi mmoja, tena yuko mbele kabisa , KAVAA RABA! Hapo nimechoka!

No wonder tuna wasomi ambao hawajapikika!
Wasomi Mzumbe University mmekosa viwango.
Du....!!!!
 
Watu wa aina hiyo ndiyo waleee ukiwakuta ofisini hawakuhudumii kwakuwa tu hujavaa watakavyo wao, hapo angekuwa mzungu wasingehoji
Mkuu hiyo kuvaa raba katika official ceremony, ndiyo inaitwa uswahili kwa kiwango cha PhD.
Hata Ikulu huyo haingii akiwa hivyo.
 
Back
Top Bottom