masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
-
- #21
Kuhalalisha poor standards nako kunahitaji kipaji.Punguza ujuaji. Angekua pekua si ndio ungeshangaa zaidi. Unajua kuna watu wana shida ya mifupa, hivyo wanavaa Raba tu.
Kwani Kamala alikuwa anachukia raba?Sasa msomi mmoja, tena yuko mbele kabisa , KAVAA RABA! Hapo nimechoka!
Sasa kwanini wasivae kibarghashia, joho na ndala, kwani navyo Kamala alivichhukia?Kwani Kamala alikuwa anachukia raba?
Raba zina madhara gani msibani?
Watu wa aina hiyo ndiyo waleee ukiwakuta ofisini hawakuhudumii kwakuwa tu hujavaa watakavyo wao, hapo angekuwa mzungu wasingehojiHauna tofauti na mbwa Koko raba inashida gani, kuna uniform za mazishi mbwa wewe? Acheni ufala umekosa content
Ni hatari aina hio ya stereotype personsWatu wa aina hiyo ndiyo waleee ukiwakuta ofisini hawakuhudumii kwakuwa tu hujavaa watakavyo wao, hapo angekuwa mzungu wasingehoji
Kwa vile umeenda negative nikukumbushe tu kama ulikuwa hujui, mbwa koko ni mamaako, the bitch.Hauna tofauti na mbwa Koko raba inashida gani, kuna uniform za mazishi mbwa wewe? Acheni ufala umekosa content
Wajinga waahedi, mnalalamika kwa nini miji na nchi ni chafu halafu mwenyewe unanuka hujafua chupi wiki.Watu wa aina hiyo ndiyo waleee ukiwakuta ofisini hawakuhudumii kwakuwa tu hujavaa watakavyo wao, hapo angekuwa mzungu wasingehoji
🖕Wajinga waahedi, mnalalamika kwa nini miji na nchi ni chafu halafu mwenyewe unanuka hujafua chupi wiki.
Ukiridhika na kukosa viwango ujue elimu haijakusaidia.
Hakuna panctuality wala preparedness hapo,to be panctual and prepared ni sambamba na kuvaa nini juu mpaka chini katika event gani,usomi ni kupangilia mambo mpaka muonekano wa nje.Ilikuwa na ulazima wa yeye tu kuchukua nafasi hiyo?Where is punctuality and preparedness?
Hivyo vyuo vya uswahilini shida sana!Hakuna panctuality wala preparedness hapo,to be panctual and prepared ni sambamba na kuvaa nini juu mpaka chini katika event gani,usomi ni kupangilia mambo mpaka muonekano wa nje.
Chuoni kwenu Mzumbe naona mlikuwa mnavitumia sana hivyo vidole katikati ya makalio yenu!
Hahahahaha..kwa mzungu wangesema mzungu sio mtu wakuvaa vzrWatu wa aina hiyo ndiyo waleee ukiwakuta ofisini hawakuhudumii kwakuwa tu hujavaa watakavyo wao, hapo angekuwa mzungu wasingehoji
Du....!!!!View attachment 2908713
Katika ibada ya mazishi ya Dkt. Kamala, wasomi wenziwe waliamua kuvaa full Academic gear kuonesha usomi wa marehemu Dkt. Diodorus Kamala. Sasa msomi mmoja, tena yuko mbele kabisa , KAVAA RABA! Hapo nimechoka!
No wonder tuna wasomi ambao hawajapikika!
Wasomi Mzumbe University mmekosa viwango.
Mkuu hiyo kuvaa raba katika official ceremony, ndiyo inaitwa uswahili kwa kiwango cha PhD.Watu wa aina hiyo ndiyo waleee ukiwakuta ofisini hawakuhudumii kwakuwa tu hujavaa watakavyo wao, hapo angekuwa mzungu wasingehoji
TPSC-Magogoni 1Udsm ya 37
Muhimbili 79
Sua ya 89
UDOM ya 123
🐼
[emoji23][emoji23][emoji23]TPSC-Magogoni 1