Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Jana kuna mtaalam mmoja wa coding amehack mitandao ya Facebook, WhatsApp, na instagram dunia nzima ilisimama, viongozi wote walisimama, wasanii wote walisimama. Mpaka wengine walitaka kupasua simu zao. Na wengine Kutaka kushika watu uchawi.
Jana hata mawaziri walikua wanahaha mitandao haishiki😅😅😅😅😅😅😅😅
Jana hata mawaziri walikua wanahaha mitandao haishiki😅😅😅😅😅😅😅😅