Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Wasomi wenyewe siyo hawa wa hapa bongo...wanywa gongo, wapenda ngono, na wenye elimu makaratasi.Jana kuna mtaalam mmoja wa coding amehack mitandao ya Facebook, WhatsApp, na instagram dunia nzima ilisimama, viongozi wote walisimama, wasanii wote walisimama. Mpaka wengine walitaka kupasua simu zao. Na wengine Kutaka kushika watu uchawi.
Jana hata mawaziri walikua wanahaha mitandao haishikiπ π π π π π π π
Wanaofikiria kuleta tozo wakati wenzao wanabuni vyanzo vipya vya mapatoWasomi wenyewe siyo hawa wa hapa bongo...wanywa gongo, wapenda ngono, na wenye elimu makaratasi.
Wasomi wenyewe siyo hawa wa hapa bongo...wanywa gongo, wapenda ngono, na wenye elimu makaratasi.
π π πKundi la msukuma watakuja kukupinga muda sio mrefu