Wasomi tunaomba ufafanuzi kwenye hili

Duh! Aiseeee !!
 
Mkuu hizo histogram zinakuwa kwa kwenda chini. Hawa BOT na TRA ni wasaliti. Hizo histogram zao kwanza hazijathibitishwa na NBS. Washtakiwe kwa uhujumu uchumi na kukosa uzalendo kwa Jamhuri yetu
Naunga mkono hoja
 
Unaanzaje na solution bila maswali? Hata research procedure lazima ianze na research questions halafu research hypothesis mwishoni huko kwenye conclusion ndio unapata solutions sasa hao wasomi wako wanafanyaje?

utapataje solution bila maswali.kwanza kunakuwa na tatizo na tatizo linazaa swali au maswali na hayo maswali yanatafutiwa majibu na majibu ndo solution/s
 
Embu elezea vizuri hapa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofauti ya wasomi wa nchi zilizoendelea na zisizoendelea ni moja wasomi wa nchi zilizoendelea na tajiri hujikita kwenye solution wakati wasomi wa nchi zisizoendelea hujikita kwenye maswali.
Kwa hiyo? Wewe ni msomi au mjinga?
 
Unaanzaje na solution bila maswali? Hata research procedure lazima ianze na research questions halafu research hypothesis mwishoni huko kwenye conclusion ndio unapata solutions sasa hao wasomi wako wanafanyaje?
umemjibu kisomi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…