Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Wasomi tunavyoendelea kukaa kimya kwenye swala la Katiba mpya haya ndio matokeo yake.
Sasa kila mtu anawaza kuwa Rais au first lady, hata watu ambao hawana vigezo wala maadili ya kugombea hata udiwani nao nawaza kuwa Marais wa Tanzania au mafirst lady waTanzania.
Someni wenyewe hichi alicho andika Maua Sama.
Kwa kifupi Maua unatukosea sana Watanzania, sasa ukisha kuwa Rais au ukawa first lady, utakipa funzo gani kizazi chetu. Kwenye KATIBA mpya kipengele cha Maadili kitazingatiwa sana, rekodi ya Maadili yako ya nyuma ni muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa letu.
Sasa kila mtu anawaza kuwa Rais au first lady, hata watu ambao hawana vigezo wala maadili ya kugombea hata udiwani nao nawaza kuwa Marais wa Tanzania au mafirst lady waTanzania.
Someni wenyewe hichi alicho andika Maua Sama.
Kwa kifupi Maua unatukosea sana Watanzania, sasa ukisha kuwa Rais au ukawa first lady, utakipa funzo gani kizazi chetu. Kwenye KATIBA mpya kipengele cha Maadili kitazingatiwa sana, rekodi ya Maadili yako ya nyuma ni muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa letu.