Wasomi wa Chuo kikuu cha Dar Es Salaam Kupitia Mkwawa Kitu Gani Mmeandika Hapa?.

Wasomi wa Chuo kikuu cha Dar Es Salaam Kupitia Mkwawa Kitu Gani Mmeandika Hapa?.

Laroi Butata

Member
Joined
Oct 28, 2020
Posts
91
Reaction score
103
Ninavyojua Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar Es Salaam na matawi yote ya chuo hicho kikiwepo chuo kikuu cha Mkwawa pale Iringa ni Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete.

Kunapokuwa na dhifa ya chuo inayofanya kuwepo kwa mkuu huyo kuwepo hatuwezi kusema mgeni rasmi ni Mkuu wa Chuo bali huyo tayari ni mkuu kwa cheo chake hapo chuoni.

Mfano, Open university walifanya mahafali yao pale Unguja Zanzibar a mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi, Dr Hussein Mwinyi ilihali mkuu wa chuo yupo.

Naangalia nafasi y mkuu wa chuo ambayo ni wajibu kuwepo ni siyo kukasimishwa kama mgeni.

Hili bango sikutegemea kulisoma hivi kwa chuo kama chenu.
IMG_20211130_173158.jpg
 
Kwani baba mlezi hawezi kushika nafasi ya baba mzazi?.
 
Sawa tu mkuu , kwan ma chancellor Mara nyingi hua hawapo vyuoni kabisa huja kwenye matukio maalumu , sio mbaya akiitwa kama mgeni rasmi pia hakuna kilichoharibika ,
 
Ninavyojua Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar Es Salaam na matawi yote ya chuo hicho kikiwepo chuo kikuu cha Mkwawa pale Iringa ni Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete.

Kunapokuwa na dhifa ya chuo inayofanya kuwepo kwa mkuu huyo kuwepo hatuwezi kusema mgeni rasmi ni Mkuu wa Chuo bali huyo tayari ni mkuu kwa cheo chake hapo chuoni.

Mfano, Open university walifanya mahafali yao pale Unguja Zanzibar a mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi, Dr Hussein Mwinyi ilihali mkuu wa chuo yupo.

Naangalia nafasi y mkuu wa chuo ambayo ni wajibu kuwepo ni siyo kukasimishwa kama mgeni.

Hili bango sikutegemea kulisoma hivi kwa chuo kama chenu.View attachment 2028440
Mke mdogo kapata mgeni ambaye ni mume wake!
 
Back
Top Bottom