Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Naomba kujuzwa kwa yeyote anayefahamu je, tuna wasomi wangapi wenye ngazi ya udaktari wa falsafa (PHD) nchini Tanzania? Vipi kuhusu idadi ya Maprofesa wako wangapi? Orodha hiyo ijumuishe hata wale wanaofanya kazi nje ya nchi.
Natanguliza shukrani.
nzuri hiii...!
only kwa wajuzi wa mambo.
Hakuna ujuzi hapo
Naomba kujuzwa kwa
yeyote anayefahamu je, tuna wasomi wangapi wenye ngazi ya udaktari wa
falsafa (PHD) nchini Tanzania? Vipi kuhusu idadi ya Maprofesa wako
wangapi? Orodha hiyo ijumuishe hata wale wanaofanya kazi nje ya nchi.
Natanguliza shukrani.
PhD ziko around 4,000 kwa kuwa ya kwangu ni ya 3,859
May be,taarifa hii maegemezi yake ni yepi mkuu???!!!Ok,mpaka kufikia mwaka 2004 watu wenye PhD tulikuwa around 25615.Kwa sasa sijajua tupo wangapi lakini kuna kikao tunakianda ambapo tutakutana wote mjini dar es salaam then nitakupa idadi kamili.
Najua wizara ya kilimo tu ina phd zaidi ya elfu. chezea tz we!!
Ok,mpaka kufikia mwaka 2004 watu wenye PhD tulikuwa around 25615.Kwa sasa sijajua tupo wangapi lakini kuna kikao tunakianda ambapo tutakutana wote mjini dar es salaam then nitakupa idadi kamili.
PhD ziko around 4,000 kwa kuwa ya kwangu ni ya 3,859
Mkuu nenda pale TCU utapata data zote.
Najua wizara ya kilimo tu ina phd zaidi ya elfu. chezea tz we!!
Najua wizara ya kilimo tu ina phd zaidi ya elfu. chezea tz we!!