Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Naomba kujuzwa kwa yeyote anayefahamu je, tuna wasomi wangapi wenye ngazi ya udaktari wa falsafa (PHD) nchini Tanzania? Vipi kuhusu idadi ya Maprofesa wako wangapi? Orodha hiyo ijumuishe hata wale wanaofanya kazi nje ya nchi.
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.