Wasomi wa Shahada kuna namna mnahujumiwa na Serikali, ajira zimekuwa za kibaguzi. Fanyeni jambo ili elimu yenu ithaminiwe

Wasomi wa Shahada kuna namna mnahujumiwa na Serikali, ajira zimekuwa za kibaguzi. Fanyeni jambo ili elimu yenu ithaminiwe

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Kumezuka tabia ya kuwabagua watu wenye degree katika utoaji wa ajira. Just imagine mtu amekomea form 4 akaenda kusoma special diploma anaajiriwa kwenda kufundisha sekondari ilihali walio na shahada kwa masomo hayo ni wengi tu mtaani. Kwenye upande wa afya mambo ni yaleyale hakuna ahueni yoyote ile asee.

Bungeni napo wabunge wanaponda wasomi wa ngazi ya degree kwa mambo yao ya kisiasa. Watendaji wa vijiji, maafisa maendeleo, wataalamu wa kilimo nk wote sifa za kuajiriwa ni certificate.

Wakuu tuchukue hatua wakizingua tuwazungue kweli. Vijana wanasiasa wanawaona hamna cha kuwafanya wambieni sasa basi.
 
Kuajiri digrii mmoja sawa na kuajiri diploma wawili, cheap labours ndio hitaji la kila mwajiri duniani..pia hao diploma na certificate wanapangiwa vijijini na wanaishi tu bila tatizo na mishahara yao midogo.

Ninyi wa digrii mnataka mjini na pia mnataka mishahara mikubwa haiwezekani pambaneni na kitaa mbona kitaa hela zipo kuliko hata huko serikalini

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumezuka tabia ya kuwabagua watu wenye degree katika utoaji wa ajira. Just imagine mtu amekomea form 4 akaenda kusoma special diploma anaajiriwa kwenda kufundisha sekondari ilihali walio na shahada kwa masomo hayo ni wengi tu mtaani. Kwenye upande wa afya mambo ni yaleyale hakuna ahueni yoyote ile asee. Bungeni napo wabunge wanaponda wasomi wa ngazi ya degree kwa mambo yao ya kisiasa. Wakuu tuchukue hatua wakizingua tuwazungue kweli.
Hizo special diploma ni diploma za namna gani mkuu.wengine humu tulisoma enzi za nyerere hiyo mifumo mingine hatujakutana nayo.
 
Kitaa hela zipo kuliko serikalini?

Tupeane experience kdogo ndg yangu!
 
Una mawazo potofu Sana au vile una certificate, Sasa Kuna haja gani ya serikali kutumia mabilion ya mikopo kwa elimu ya juu then wasiwatumie ka sio wehu Nini?
 
Una mawazo potofu Sana au vile una certificate, Sasa Kuna haja gani ya serikali kutumia mabilion ya mikopo kwa elimu ya juu then wasiwatumie ka sio wehu Nini?
Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo alisema hawawakopeshi wanafunzi kwa kutegemea kuwa wataajiriwa ndipo wailipe Bali wanaamini kuwa kwa kupata Elimu hiyo watajiajiri kisha kuilipa Mikopo hiyo.
 
Kuajiri digrii mmoja sawa na kuajiri diploma wawili, cheap labours ndio hitaji la kila mwajiri duniani..pia hao diploma na certificate wanapangiwa vijijini na wanaishi tu bila tatizo na mishahara yao midogo...
7 Tanzania ni nchi tajiri
 
Kuajiri digrii mmoja sawa na kuajiri diploma wawili, cheap labours ndio hitaji la kila mwajiri duniani..pia hao diploma na certificate wanapangiwa vijijini na wanaishi tu bila tatizo na mishahara yao midogo...
Wakiwatia mimba mabinti zenu huko vijijini mnajiuliza tatizo liko wapi.
 
Kumezuka tabia ya kuwabagua watu wenye degree katika utoaji wa ajira. Just imagine mtu amekomea form 4 akaenda kusoma special diploma anaajiriwa kwenda kufundisha sekondari ilihali walio na shahada kwa masomo hayo ni wengi tu mtaani. Kwenye upande wa afya mambo ni yaleyale hakuna ahueni yoyote ile asee...
Hapa sirikali inacholenga ni kupunguza wage bill kwa sababu hao wenye elimu ndogo watalipwa mishahara midogo. Hii ni technical failure kwa upande wa serikali kujaribu kukwepa gharama ili ku compromise quality.

Kwenye aina yoyote ya ajira wanatakiwa kuajiriwa watu wenye degree na hawa wenye ngazi ya chini wanakuwa kama wasaidizi....
 
Kumezuka tabia ya kuwabagua watu wenye degree katika utoaji wa ajira. Just imagine mtu amekomea form 4 akaenda kusoma special diploma anaajiriwa kwenda kufundisha sekondari ilihali walio na shahada kwa masomo hayo ni wengi tu mtaani. Kwenye upande wa afya mambo ni yaleyale hakuna ahueni yoyote ile asee.

Bungeni napo wabunge wanaponda wasomi wa ngazi ya degree kwa mambo yao ya kisiasa. Watendaji wa vijiji, maafisa maendeleo, wataalamu wa kilimo nk wote sifa za kuajiriwa ni certificate.

Wakuu tuchukue hatua wakizingua tuwazungue kweli. Vijana wanasiasa wanawaona hamna cha kuwafanya wambieni sasa basi.
Serikali yetu imekuwa ya kipumbavu sana, kwanini huo mshahara wanao walipa certificate na diploma wasiwaajiri na kuwalipa wenye degree? afu wenye certificate na diploma ndo wakae nyumbani na mitaani mpaka wakaongezee degree, badala yake degree ndo wanahangaika mitaani.

Hili swala sio la kufumbia macho, serikali iamshwe iache uhuni wa kipumbavu.
 
serikali yetu imekuwa ya kipumbavu sana, kwanini huo mshahara wanao walipa certificate na diploma wasiwaajiri na kuwalipa wenye degree? afu wenye certificate na diploma ndo wakae nyumbani na mitaani mpaka wakaongezee degree, badala yake degree ndo wanahangaika mitaani.

Hili swala sio la kufumbia macho, serikali iamshwe iache uhuni wa kipumbavu.
Kweli
 
serikali yetu imekuwa ya kipumbavu sana, kwanini huo mshahara wanao walipa certificate na diploma wasiwaajiri na kuwalipa wenye degree? afu wenye certificate na diploma ndo wakae nyumbani na mitaani mpaka wakaongezee degree, badala yake degree ndo wanahangaika mitaani.

Hili swala sio la kufumbia macho, serikali iamshwe iache uhuni wa kipumbavu.
Kweli
 
Back
Top Bottom