Wasomi wa SUA wanalisaidia nini Taifa?

bado wanatembeza bahasha mjini,watakuja
 
Hoja yangu ipo kwenye mafuta na ngano sijzungumzia baa la njaa

Mimi nimebase kwenye mafuta na ngano
 
hauko serious unafuatilia mambo wewe, iv mafuta ya kula ni nini
 
Substance? unamaanisha subsistence?
 
Nchi za kiafrika hazina habari na wasomi, na ndio maana hazioni umuhimu wa kuwekeza kwenye tafiti, wanaona hiyo pesa bora itumike kwenye mambo ya siasa tu.

wewe bajeti ya kilimo sijui ni 2% ya bajeti kuu, ni miaka mingi sana inaombwa ifikie hata 10%, wanakuja na KAULI MBIU tu!

Na hata hao wasomi wetu nao wameona bora waingie kwenye siasa tu!!
 
I appreciate u
 
ndugu wewe toa hoja yako mbona naona kijana yuko sahihi kuuliza
Hakuna kitu hapo angekuja na hoja iliyojaa, alete takwimu za chuo chake kwanza, kimesaidia nini taifa? Bila hivyo huu utakuwa umbea tu, kwanza kuandika hajui.

Waprofesa ndiyo nini?

Garama ndiyo nini anaandika kwenye uzi wake.

Sua inafanya makubwa sana.
 
Ukweli mchungu
 
inaonekana ww ni mzoefu huko unalima zao gani jingine
 
hauko serious unafuatilia mambo wewe, iv mafuta ya kula ni nini
Kuhusu hoja ya mafuta nieleze serikali ina mkakati gani wa kutaka tujikwamue,maana ni miaka miwili tumeingia kwenye uhaba wa mafuta lakini ulishawahi sikia serikali inasema tumetenga hekta elfu 10 tunakaribisha wasomi na wawekezaji waliotayari serikali itawawezesha, kama hujaona serikali ikichukua hatua yeyote mtoa mada anaanzaje kulaumu wasomi wa sua.
 
natambua mchango wa sua katika sector ya kilimo ni mkubwa sana ,lakini kwa mtazamo wangu naona vijana wanao kwenda kusoma sua sasa hivi wanasoma tuu lakini hawana passion na kilimo wanataka viyoyozi
 
Haja yangu ni hawa wasomi wanaisaidia vipi nchi maana hawa ndio walitakiwa waishauri serikali lakini wapo bado tunaagiza vitu nnje badala ya kuzalisha wenyewe
Kuna maandiko mangapi ambayo wasomi wameshayaandika juu ya mambo mbalimbali, lakini hakuna anayewasikiliza kisingizio ni pesa!!

ila mwanasiasa std 7, akishauri anweza sikilizwa saidi kuliko prof.Mfano kilimo cha umwagiliaji tu ambacho ndio kingekuwa ufumbuzi wa matatizo mengi, ni suala la kupoteza muda, nji nzima imejaa maji ardhini?!

yaani mipango utadhania jana ndio tumetoka kupata uhuru!!
 
Sisi wafugaji na wakulima SUA wametusaidia sana kwenye maboresho ya miche ya mazao, mbegu na dawa za mifugo.

swali nyie wasomi wa UDSM mmesaidia nini taifa zaidi ya kuzalisha wezi na mafisadi nchini?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
great ,wangekuwa banks wanakopesha bila collateral ingekuwa afadhari sasa muhitimu anamiliki simu tuu alafu umwambie akakope bank
 
Kulikuwa hakuna hitaji la kumjibu huyu mkuu, sababu mada yake haina mantiki kwa kukosa takwimu ya chuo chake, kuhusu kusaidia taifa.
 
Dogo endelea kula ugali ws dona!! Umezimiss fujo siyo?

Ngoja waje jamaa wa digrii za Agric General, Horticulture n.k kutoka SUA kutoa mapovu ya kufulia mpaka Kigamboni [emoji3][emoji3]
 
wenye sisem yao ni tatizo kubwa. wanaratibu upigaji tu
hayo mengine hayawahusu
 
Lichadi wa mavoko unanichekesha balaa msomi wa darasa la saba,nakuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…