Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Yaani jamaa ndo anajiona bonge la mwanaharakati na ana akili kubwa kuliko wengine.Hahaa hicho kichwa si amepewa na kina adam mchomvu .... sasa ukisifiwa na vichaa kuwa una knowledge unapaswa kujikagua upya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app