Wasomi waliopo bungeni toeni hoja tuondokane na hoja za wahuni na wasema ovyo

Wasomi waliopo bungeni toeni hoja tuondokane na hoja za wahuni na wasema ovyo

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Inasikitisha kuona wasomi waliopo bungeni kukaa kimya na badala yake wanao-trend ni walioishia darasa la saba.

Tukikubali kuzoea na kuaminishwa na huu utaratibu wa wanaojiita darasa la saba kujionesha kuwa ndio wenye points za kutetea jamii basi ni wazi taifa letu litapoteza muelekeo.

Wabunge wa darasa la saba hawakatazwi kutoa hoja na vionjo mbalimbali ambavyo vinafikirisha akili lakini isije ikawa Eti Taifa likawa linasubiri hoja zao au watu wenye hulka zao ndio wakateka mijadala ya kitaifa....hii itakuwa ni aibu na upuuzi mtupu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
A5052F5D-D601-47F8-8888-1C8D6E309433.jpeg
 
Mlipokuwa mnasapoti ujinga wa magufuli kuruhusu wajinga wengi kwenda bungeni hamkujua haya...?.
Bungeni ni ruhusa kuingia watu wote....lakini leading think tanks lazima wawe wasomi na wenye weledi.hivi sasa tunataka kugeuza wajinga wajinga wawe think tanks.
 
Bungeni ni ruhusa kuingia watu wote....lakini leading think tanks lazima wawe wasomi na wenye weledi.hivi sasa tunataka kugeuza wajinga wajinga wawe think tanks.
Umechelewa ungeyasema haya 2020 ulipokuwa unashangilia wajinga kuingia Bungeni.
 
Bungeni ni ruhusa kuingia watu wote....lakini leading think tanks lazima wawe wasomi na wenye weledi.hivi sasa tunataka kugeuza wajinga wajinga wawe think tanks.
Wape Ccm huu ushauri, wao ndio waamuzi kina nani wapewe Ubunge.
 
Kuanzia sasa mtu kuwa mbunge angalau awe na degree huu ujinga wa akina msukuma hautakuwepo
 
Inasikitisha kuona wasomi waliopo bungeni kukaa kimya na badala yake wanao-trend ni walioishia darasa la saba.
Tukikubali kuzoea na kuaminishwa na huu utaratibu...
Bunge hilo hilo la majizi ya kura ndio utegemee kuna msomi anaweza kuongea chochote? Kama msomi kapata ubunge kwa kudra za yule mlevi wa madaraka, ana tofauti gani na wa darasa la saba?
 
Wajinga ni wengi Kama wewe kuliko werevu kama Mimi, ndio maana wewe hukujua madhara ya kushangilia upuuzi wa 2020 Ila mimi niligundua huo upuuzi.
lete takwimu bro
 
Back
Top Bottom