Wasomi waliopo bungeni toeni hoja tuondokane na hoja za wahuni na wasema ovyo

Wasomi waliopo bungeni toeni hoja tuondokane na hoja za wahuni na wasema ovyo

Mlipokuwa mnasapoti ujinga wa magufuli kuruhusu wajinga wengi kwenda bungeni hamkujua haya...?.
Jomba unatukana waheshimiwa wabunge waziwaz hivi....Mods ban takataka hii forever....hili jukwaa la heshima sana
 
Tatizo hii nchi yetu wasomi ndiyo waoga, hawajiamini, wapenda maslahi binafsi
 
Mlipokuwa mnasapoti ujinga wa magufuli kuruhusu wajinga wengi kwenda bungeni hamkujua haya...?.
Wewe ni mpumbavu tu. Bungeni tunao wasomi wengi tu, hao ndio tunataka wajitokeze.

Wewe mchepuko kutoka Kijiji vha Rondo mbona huna akili?
 
... achene hizo, ... darasa la saba la mtu anayejishughulisha na kupata exposure ya jinsi Dunia inavyokwenda ana elimu Zaidi ya wasomi wengi (wanaosomea fani moja wasiyoitendea haki)!
 
Inasikitisha kuona wasomi waliopo bungeni kukaa kimya na badala yake wanao-trend ni walioishia darasa la saba.

Tukikubali kuzoea na kuaminishwa na huu utaratibu wa wanaojiita darasa la saba kujionesha kuwa ndio wenye points za kutetea jamii basi ni wazi taifa letu litapoteza muelekeo.

Wabunge wa darasa la saba hawakatazwi kutoa hoja na vionjo mbalimbali ambavyo vinafikirisha akili lakini isije ikawa Eti Taifa likawa linasubiri hoja zao au watu wenye hulka zao ndio wakateka mijadala ya kitaifa....hii itakuwa ni aibu na upuuzi mtupu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Hoja imetolewa na Jingalao, kuna haja ya kuijadili kweli?
 
Inasikitisha kuona wasomi waliopo bungeni kukaa kimya na badala yake wanao-trend ni walioishia darasa la saba.

Tukikubali kuzoea na kuaminishwa na huu utaratibu wa wanaojiita darasa la saba kujionesha kuwa ndio wenye points za kutetea jamii basi ni wazi taifa letu litapoteza muelekeo.

Wabunge wa darasa la saba hawakatazwi kutoa hoja na vionjo mbalimbali ambavyo vinafikirisha akili lakini isije ikawa Eti Taifa likawa linasubiri hoja zao au watu wenye hulka zao ndio wakateka mijadala ya kitaifa....hii itakuwa ni aibu na upuuzi mtupu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Kuna Bunge mule?Ile ni Party Caucus ya CCM sema hawajaamua kuvaa mashati Yao ya mbogamboga.
 
Back
Top Bottom