Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Nenda ofisi ye NEC utapata...lete takwimu bro
!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda ofisi ye NEC utapata...lete takwimu bro
😆😆Mlipokuwa mnasapoti ujinga wa magufuli kuruhusu wajinga wengi kwenda bungeni hamkujua haya...?.
😅😅Made in Tanzania....
assembly in ccm....
🙃🙃
Bunge la Mahela na jpmInasikitisha kuona wasomi waliopo bungeni kukaa kimya na badala yake wanao-trend ni walioishia darasa la saba.
Tukikubali kuzoea ...
Sasa Kama wapo wengi unacholalamika hapa ni kipi?.NEC inanipa wasomi wengi sana hapo bungeni wewe umeleta blahblah
Hao WAHUNI na WASEMAHOVYO walifikaje hapo bungeni?Inasikitisha kuona wasomi waliopo bungeni kukaa kimya na badala yake wanao-trend ni walioishia darasa la saba.
Tukikubali kuzoea na kuaminishwa...
Ila kwa sasa naona wahuni na wasemahovyo ndio wengi.wahuni na wasema hovyo wachache huingia bungeni...hiyo ndio demokrasia
Jomba unatukana waheshimiwa wabunge waziwaz hivi....Mods ban takataka hii forever....hili jukwaa la heshima sanaMlipokuwa mnasapoti ujinga wa magufuli kuruhusu wajinga wengi kwenda bungeni hamkujua haya...?.
Wewe ni mpumbavu tu. Bungeni tunao wasomi wengi tu, hao ndio tunataka wajitokeze.Mlipokuwa mnasapoti ujinga wa magufuli kuruhusu wajinga wengi kwenda bungeni hamkujua haya...?.
Hoja imetolewa na Jingalao, kuna haja ya kuijadili kweli?Inasikitisha kuona wasomi waliopo bungeni kukaa kimya na badala yake wanao-trend ni walioishia darasa la saba.
Tukikubali kuzoea na kuaminishwa na huu utaratibu wa wanaojiita darasa la saba kujionesha kuwa ndio wenye points za kutetea jamii basi ni wazi taifa letu litapoteza muelekeo.
Wabunge wa darasa la saba hawakatazwi kutoa hoja na vionjo mbalimbali ambavyo vinafikirisha akili lakini isije ikawa Eti Taifa likawa linasubiri hoja zao au watu wenye hulka zao ndio wakateka mijadala ya kitaifa....hii itakuwa ni aibu na upuuzi mtupu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Kuna Bunge mule?Ile ni Party Caucus ya CCM sema hawajaamua kuvaa mashati Yao ya mbogamboga.Inasikitisha kuona wasomi waliopo bungeni kukaa kimya na badala yake wanao-trend ni walioishia darasa la saba.
Tukikubali kuzoea na kuaminishwa na huu utaratibu wa wanaojiita darasa la saba kujionesha kuwa ndio wenye points za kutetea jamii basi ni wazi taifa letu litapoteza muelekeo.
Wabunge wa darasa la saba hawakatazwi kutoa hoja na vionjo mbalimbali ambavyo vinafikirisha akili lakini isije ikawa Eti Taifa likawa linasubiri hoja zao au watu wenye hulka zao ndio wakateka mijadala ya kitaifa....hii itakuwa ni aibu na upuuzi mtupu.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!