nafaham hilo je unaisaidiaje jamii wewe kama msomi ?
heading inajieleza wasomi wengi hapa tz wanaishia kufanya starehe na pesa zetu kupitia mkopo hali kadhalika wakihitimu huishia kuzunguka kwani hawana ujuzi bali vyeti mkononi namaeno mengi ilihali wanajua hawana uwezo wakuperform concerned task,tubadilike vijana wenzangu badala yakula starehe zamda mfupi tujitahidi kuelewa vilivyo tunachofundishwa ili ujuzi ukae sawasawa natuje kuwa bora kati yawengi katika kulijenga taifa hili, ahsante sina nia mbaya bali kukumbushana