Wasomi wengi feki

Rjohn

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
613
Reaction score
128
heading inajieleza wasomi wengi hapa tz wanaishia kufanya starehe na pesa zetu kupitia mkopo hali kadhalika wakihitimu huishia kuzunguka kwani hawana ujuzi bali vyeti mkononi namaeno mengi ilihali wanajua hawana uwezo wakuperform concerned task,tubadilike vijana wenzangu badala yakula starehe zamda mfupi tujitahidi kuelewa vilivyo tunachofundishwa ili ujuzi ukae sawasawa natuje kuwa bora kati yawengi katika kulijenga taifa hili, ahsante sina nia mbaya bali kukumbushana
 
Starehe ni sehemu ya maisha.

tatizo kizazi hiki hakiwaz nan aliyeiuweka sawa huu ulimwengu thats y starehe znapewa kipaumbele
 
Starehe ni sehemu ya maisha.

tatizo kizazi hiki hakiwaz nan aliyeuweka sawa huu ulimwengu thats y starehe znapewa kipaumbele
 

unachosoma darasani is quite different na unachokikuta huko makazini..........
 
kumbe mfumo pia nitatizo? sasa basi sisi kama vijana nijukum letu kuhakikisha elimu yetu inakuwa msaada kwa taifa letu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…