Wasomi wengi wa Tanzania ni Opportunist wakubwa, Walaghai na Wabinafsi

Wasomi wengi wa Tanzania ni Opportunist wakubwa, Walaghai na Wabinafsi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hawa wasomi njaa hawa kipindi kile cha nyuma walitusababishia ikawa ukienda kula ndizi choma na mishkaki unawekewa kavu na ukitaka chachandu unatakiwa ulipie.

Yaani Ghafla Chachandu ikawa dawa ya Corona. Kwa utafiti gani haijulikani. Yaani sisi watu wa hovyo sana.

Wauzaji chips wakawa sasa wanauza na chachandu kwa kijiko kimoja tsh 300 ukitaka 3 unalipa tsh 1000 wakati chachandu ilikuwa bure.

Wenye mtaji wakaanza tengeneza chachandu wanaweka kwenye chupa wanazipa jina flani zinauzwa tsh 15,000. Tumeona waziri na jopo lake akinywa kwa majidai kabisa. Alichunguza wapi?

Yule waziri mwingine akakumbuka jinsi ambavyo huwa akienda kwa mganga anafanywa, akaanzisha naye mambo yake ukawa wimbo wa Taifa. Yaani Tanzania ikawa ni kichwa cha mwendawazimu. Kila aliye kwenye nafasi alikuja na dhana yake na kuifanya kuwa ya Taifa.

Wasomi walikuwa wakishadadia au kunyamaza tu. Yaani kama mazezeta flani hivi.
 
Mimacho fc a.k.a Kalamaganda ga Mbudi alichoma wese mbaka Antananarivo Madagaskara kwenda kuchukua juisi ya pili pili pori

Siunajua kijana mjanja Dj wa casino na rais wa nchi ile Andy Rajoerina aliwaingiza mkenge watu pori?
 
Hawa wasomi njaa hawa kipindi kile cha nyuma walitusababishia ikawa ukienda kula ndizi choma na mishkaki unawekewa kavu na ukitaka chachandu unatakiwa ulipie.

Yaani Ghafla Chachandu ikawa dawa ya Corona. Kwa utafiti gani haijulikani. Yaani sisi watu wa hovyo sana.

Wauzaji chips wakawa sasa wanauza na chachandu kwa kijiko kimoja tsh 300 ukitaka 3 unalipa tsh 1000 wakati chachandu ilikuwa bure.

Wenye mtaji wakaanza tengeneza chachandu wanaweka kwenye chupa wanazipa jina flani zinauzwa tsh 15,000. Tumeona waziri na jopo lake akinywa kwa majidai kabisa. Alichunguza wapi?

Yule waziri mwingine akakumbuka jinsi ambavyo huwa akienda kwa mganga anafanywa, akaanzisha naye mambo yake ukawa wimbo wa Taifa. Yaani Tanzania ikawa ni kichwa cha mwendawazimu. Kila aliye kwenye nafasi alikuja na dhana yake na kuifanya kuwa ya Taifa.

Wasomi walikuwa wakishadadia au kunyamaza tu. Yaani kama mazezeta flani hivi.
Unadhani wewe leo uko hai mpaka sasa si hiyo hiyo chachandu au we mwen\etu ulichanja. Na mdharau Chachandu na Nyungu sasa hivi ndio mtakoma. Na Barakoa hamotaki kuvaa. Kukaa mbalimbali hamtaki. Yanga Sima inaendelea kama kawaida midahalki kama kawaida. Nipe mwezi mmoja utaniambia. Jirekebishgeni Hayati JPM alituvusha kwa Nyungy alifanya kazi na inafanya kazi. Haya wenzetu ngoje ni chanjo 2022!
 
Unadhani wewe leo uko hai mpaka sasa si hiyo hiyo chachandu au we mwen\etu ulichanja. Na mdharau Chachandu na Nyungu sasa hivi ndio mtakoma. Na Barakoa hamotaki kuvaa. Kukaa mbalimbali hamtaki. Yanga Sima inaendelea kama kawaida midahalki kama kawaida. Nipe mwezi mmoja utaniambia. Jirekebishgeni Hayati JPM alituvusha kwa Nyungy alifanya kazi na inafanya kazi. Haya wenzetu ngoje ni chanjo 2022!
bwege kweli wewe. unadhani mimi nilikuwa na huo upuuzi wa kujichoma na maji ya mto kuathiri mfumo wa hewa? mimi nina akili siyo zezeta kama wewe.
 
Back
Top Bottom