Wasomi wenye taaluma ya uchumi mko wapi?

Wasomi wenye taaluma ya uchumi mko wapi?

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
images (1) (4).jpeg



Tatizo la tozo kuwa nyingi sio makusudi ya raisi wala serikali. Lawama hizi napeleka kwa wasomi wenye taaluma ya uchumi kwasababu wanatakiwa kubuni njia nyingine za mapato na kuwasilisha serikalini.

Mfano rahisi ni kuwa, badala ya Serikali kuongeza tozo katika miamala ya simu na benk ilipaswa wasomi wenye taaluma ya uchumi wakishirikiana na waziri wa viwanda na biashara ikiwemo uwekezaji kushawishi wawekezaji kutoka mataifa makubwa kuja kuwekeza hapa nchini kwa wingi ikwemo kujenga viwanda ili serikali ijipatie mapato mengi nadhani hii itasaidi tozo kupungua ama kuondolewa kabisa katika miamala ili wananchi wapate ahueni.
 
HAKUNA WACHUMI NCHI HII KWA SASA WOTE WAMEKIMBILIA KWENYE SIASA
Wao ndio wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kuokoa jahazi hili, wananchi wanaumia sana akina mama mitaani wanalia machozi hasa mama ntilie nakadhalika
 
View attachment 2331377Tatizo la tozo kuwa nyingi sio makusudi ya raisi wala serikali. Lawama hizi napeleka kwa wasomi wenye taaluma ya uchumi kwasababu wanatakiwa kubuni njia nyingine za mapato na kuwasilisha serikalini. Mfano rahisi ni kuwa, badala ya serikali kuongeza tozo katika miamala ya simu na benk ilipaswa wasomi wenye taaluma ya uchumi wakishirikiana na waziri wa viwanda na biashara ikiwemo uwekezaji kushawishi wawekezaji kutoka mataifa makubwa kuja kuwekeza hapa nchini kwa wingi ikwemo kujenga viwanda ili serikali ijipatie mapato mengi nadhani hii itasaidi tozo kupungua ama kuondolewa kabisa katika miamala ili wananchi wapate ahueni.
Nani anataka taaluma hapa Bongo? Tulisha acha Taaluma. Takwimu zenyewe huruhusiwi kuzitafuta, unatakiwa upewe! Au hukuwepo hapa Bongo ndiyo unafika sasa. Kama Katiba na sheria hazifuatwi, kuheshimu taaluma huoni kuwa itakuwa kazi ngumu zaidi? Watanzania unaowakuta Botswana, Nabimia, Afrika Kusini ni wana taaluma wale! Wakiombwa warudi hapa wakajaribu, inashindikana kutumia utaalam wao kama walikokuwa awali.
 
Nani anataka taaluma hapa Bongo? Tulisha acha Taaluma. Takwimu zenyewe huruhusiwi kuzitafuta, unatakiwa upewe! Au hukuwepo hapa Bongo ndiyo unafika sasa. Kama Katiba na sheria hazifuatwi, kuheshimu taaluma huoni kuwa itakuwa kazi ngumu zaidi? Watanzania unaowakuta Botswana, Nabimia, Afrika Kusini ni wana taaluma wale! Wakiombwa warudi hapa wakajaribu, inashindikana kutumia utaalam wao kama walikokuwa awali.
Hivi Ikulu hakuna chombo maalumu cha kusikiliza kero za wananchi?
 
View attachment 2331377


Tatizo la tozo kuwa nyingi sio makusudi ya raisi wala serikali. Lawama hizi napeleka kwa wasomi wenye taaluma ya uchumi kwasababu wanatakiwa kubuni njia nyingine za mapato na kuwasilisha serikalini. Mfano rahisi ni kuwa, badala ya Serikali kuongeza tozo katika miamala ya simu na benk ilipaswa wasomi wenye taaluma ya uchumi wakishirikiana na waziri wa viwanda na biashara ikiwemo uwekezaji kushawishi wawekezaji kutoka mataifa makubwa kuja kuwekeza hapa nchini kwa wingi ikwemo kujenga viwanda ili serikali ijipatie mapato mengi nadhani hii itasaidi tozo kupungua ama kuondolewa kabisa katika miamala ili wananchi wapate ahueni.

Hakuna muwekezaji serious atakuja kuwekeza kwenye nchi ambayo utashi wa rais ndio sheria. Kwenye nchi ambayo sheria hazina nguvu mbele ya siasa, usitegemee muwekezaji kuja hapo.
 
🤣🤣🤣 kero zipi mkuu, wewe unaona kuna kero wenzako wanasema kila kitu kipo sawa.
Kuna hawa mama zetu na ndugu zetu mitaani ambao ni wajasiriamali wadogo ikiwemo mama ntilie nk, gharama za maisha zinapopanda sana wataendeshaje maisha yao na hasa wengi wao wanatunza familia kwa kidogo wanachopata
 
Back
Top Bottom