JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 527
- 596
Dad, what is my birth order? (or something like that ..)
Kwamba mmezaliwa 200 au 400!!Father, what is my position in the lineage of siblings?
na wewe kwa nini umuulize baba yako swali kama hilo!!kwani wewe hujui mko wa ngapi nyumbani kwenu,hujui idadi ya kaka na dada zako!!hata hufahamu nani kakuzidi umri katika hao ndugu zako!!...unawahesabu mwenyewe kimya kimya unafahamu wewe ni wa ngapi!
Kwamba mmezaliwa 200 au 400!!
mama yangu mmoja tu!!kwa mjibu wa imani yetu mme anakuwa na mke mmoja tu!!hizo za nyumba ndogo hakuna,kama wewe una amini katika mitala poa ila baba anaye mama mmoja na ni mmoja tu!!!hivi wewe unajua babako ana mamazako wangapi,
uajuaje idadi enu. unaweza ukamuomba akupe
order/list yenu, ascending order mkuu, ask hem