SailorOne1945
New Member
- Apr 29, 2019
- 4
- 7
Wewe mwenyewe unajiita Mkwepa KodiLinapokuja suala la kupambana na wakwepa kodi automatically nakuwa upande wa JPM
Sasa unataka kubadili mada?Je,mliwachukuliaje hao waliosema wanakwenda kuunga mkono juhudi za rais??.....mlikubaliana nao kwa moyo mnyoofu kweli?
wee jamaa bhana,
CPKA NDUUGA NA SIEIJII.LINAPOKUJA SUALA LA Trion 2:4 unakuwa upande wa nani???[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]
Huko kwenu ni Kiwanda cha majiziBongo kama Ulaya awamu hii..kwa watu kukumbushwa madeni na ukatishaji pesa na kutolipa kodi...
Duh...namna gani pale
Huyu Peter Noni ni balaaMuda wote anaimba,"noni,noni,noni"[emoji444][emoji445][emoji443][emoji16][emoji16]
Ni nan Huyo noni[emoji2]Huyu Peter Noni ni balaa
Rafu zote yumo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Alikuwa mkurugenzi wa T.I.B mkuuNi nan Huyo noni[emoji2]
Sasa wasira amesema amelipaNi nan Huyo noni[emoji2]
Ndo wasira akawa anaimba muda wote tu noni,noni,noniAlikuwa mkurugenzi wa T.I.B mkuu
Yuko keko muda tu ana mikesi ya uhujumu uchumi
Ova
Duh Noni kazi anayoNdo wasira akawa anaimba muda wote tu noni,noni,noni
Ile kesi ya makontena ya Makonda. Iliishia wapi ?Linapokuja suala la kupambana na wakwepa kodi automatically nakuwa upande wa JPM
Ngoja tumulize ...@cocochanelIle kesi ya makontena ya Makonda. Iliishia wapi ?
Unaweza ukawa na nia nzuri ya kutuhabarisha, umekosea ulipoegemea upande flani na kutoa huku kabisa!Kumekucha!
Steven Wasira,mmoja wa wadaiwa sugu wa mfuko wa Commodity Import Support amesema hatalipa deni hilo kamwe na kwamba yeye si mmoja wa wadaiwa wa mabilioni hayo.
Wasira ambaye anakiri kukopa milioni mia moja miaka ya tisini,anasema alikuwa na makubaliano ya kulipa benki ya T.I.B, na kwamba makubaliano hayo yalifanywa wakati Mkurugenzi wa Benki hiyo,na mtuhumiwa wa ufisadi,bwana Peter Noni akiwa mamlakani.
Cha ajabu,Benki hakuna kumbukumbu za kulipa deni kama Wasira anavyosema alilipa, na hana hata barua ya Benki kuonyesha kwamba imethibitisha kwamba kalipa na hadaiwi, wasira ana maneno tu hana documents za benki kuonyesha uthibitisho kwamba hadaiwi,je mchezo ulichezwa hela ikarudi kwa wasira,hivyo Wasira anaweza kuwa ametakatisha pesa?
Muda wote anaimba "noni,noni,noni"
Je Wasira na kundi lake la awamu ya tano walikuwa wanashinikiza na kuwatisha watendaji wawafutie madeni yao kiaina? Anasema aliachana na kampuni iliyokopa akaenda kufanya siasa,sasa kwa nini Benki au yeye aambiwe na Benki aiandikie ili ifute deni wakati yeye si mtumishi wa kampuni ya SIZYA COLD STORAGE?
Wasira alikopa milioni 100 miaka ya tisini,anataka alipe hizo pesa hivyo hivyo bila riba! Amekopa miaka 30 iliyopita?!
Haiwezekani, akamatwe na apewe kesi ya uhujumu uchumi,tena anamgomea Rais wa Jamhuri ya Muungano ! Anajiamini nini huyu mtu?hajui hii ni awamu ya tano!
Asomeshwe namba,
Hao praise team huwa hawana majibu yenye akili. Sana sana atakuja kuandika upupu tu.Ngoja tumulize ...@cocochanel
Ova