Wassira amgomea JPM, asema halipi deni la Commodity Import Support. Akataa wito, Task Force kutuma Polisi. Yeye adai yuko tayari kupigwa pingu!

Wassira amgomea JPM, asema halipi deni la Commodity Import Support. Akataa wito, Task Force kutuma Polisi. Yeye adai yuko tayari kupigwa pingu!

Wasira hajakataa deni alichosema kwamujibu wa gazeti la mwananchi ni kwamba alikwisha lipa deni lote kupitia tib bank. Benki hiyo inamdai licha ya kuwepo na vielelezo vya kuonyesha Amelipa. Katika maelezo yake hakumtaja rais Magufuli popote. Kama ni kweli Amelipa , ni kwa nini alazimishwe kulipa tena. Anasema Kama tib haikubaliana na maelezo, iende mahakamani na yeye yuko tayari kwenda mahakamani kujitetea.Kwa maelezo hayo matusi na kejel ni za nini? I. Hivi Huo ndiyo u great thinker,!!
 
Muda wote anaimba,"noni,noni,noni"[emoji444][emoji445][emoji443][emoji16][emoji16]
 
Bongo kama Ulaya awamu hii..kwa watu kukumbushwa madeni na ukatishaji pesa na kutolipa kodi...
Huko kwenu ni Kiwanda cha majizi
Ngj awamu fulani ipite na wao watakumbushwa yao

Ova
 
Muda wote anaimba,"noni,noni,noni"[emoji444][emoji445][emoji443][emoji16][emoji16]
Huyu Peter Noni ni balaa
Rafu zote yumo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Kumekucha!

Steven Wasira,mmoja wa wadaiwa sugu wa mfuko wa Commodity Import Support amesema hatalipa deni hilo kamwe na kwamba yeye si mmoja wa wadaiwa wa mabilioni hayo.

Wasira ambaye anakiri kukopa milioni mia moja miaka ya tisini,anasema alikuwa na makubaliano ya kulipa benki ya T.I.B, na kwamba makubaliano hayo yalifanywa wakati Mkurugenzi wa Benki hiyo,na mtuhumiwa wa ufisadi,bwana Peter Noni akiwa mamlakani.

Cha ajabu,Benki hakuna kumbukumbu za kulipa deni kama Wasira anavyosema alilipa, na hana hata barua ya Benki kuonyesha kwamba imethibitisha kwamba kalipa na hadaiwi, wasira ana maneno tu hana documents za benki kuonyesha uthibitisho kwamba hadaiwi,je mchezo ulichezwa hela ikarudi kwa wasira,hivyo Wasira anaweza kuwa ametakatisha pesa?

Muda wote anaimba "noni,noni,noni"

Je Wasira na kundi lake la awamu ya tano walikuwa wanashinikiza na kuwatisha watendaji wawafutie madeni yao kiaina? Anasema aliachana na kampuni iliyokopa akaenda kufanya siasa,sasa kwa nini Benki au yeye aambiwe na Benki aiandikie ili ifute deni wakati yeye si mtumishi wa kampuni ya SIZYA COLD STORAGE?

Wasira alikopa milioni 100 miaka ya tisini,anataka alipe hizo pesa hivyo hivyo bila riba! Amekopa miaka 30 iliyopita?!

Haiwezekani, akamatwe na apewe kesi ya uhujumu uchumi,tena anamgomea Rais wa Jamhuri ya Muungano ! Anajiamini nini huyu mtu?hajui hii ni awamu ya tano!

Asomeshwe namba,
Unaweza ukawa na nia nzuri ya kutuhabarisha, umekosea ulipoegemea upande flani na kutoa huku kabisa!
 
Ngoja tumulize ...@cocochanel

Ova
Hao praise team huwa hawana majibu yenye akili. Sana sana atakuja kuandika upupu tu.

In case hujagundua kitu, huyo kijana cocochanel siku hizi kaacha kile kibwagizo chake cha Makonda oyeeèee. Naona ameanza kuamka toka usingizi wa ujinga.
 
Back
Top Bottom