Wassira amgomea JPM, asema halipi deni la Commodity Import Support. Akataa wito, Task Force kutuma Polisi. Yeye adai yuko tayari kupigwa pingu!

Hao praise team huwa hawana majibu yenye akili. Sana sana atakuja kuandika upupu tu.

In case hujagundua kitu, huyo kijana cocochanel siku hizi kaacha kile kibwagizo chake cha Makonda oyeeèee. Naona ameanza kuamka toka usingizi wa ujinga.
Anadai yuko likizo kwa malkia[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Yaani kuna watu hata kifanyike nn nchini yeye anapinga...jamani!!!! What's wrong? Ni laana au? Ninyi baadhi ya watu wa upande wa pili mna matatizo gani?
Watu wana hasira ubabe mwingi, vyama vyao wanavyoviamini vinanyanyaswa haviruhusiwi kufanya siasa kinyume cha sheria, chaguzi ndogo ni za ccm tu.

Pia kuna watu hawajulikani walipo na serikali haijali na wengine wamepigwa risasi 38 bila uchunguzi hadi kuvuliwa ubunge kibabe.

Uchumi ni mbaya mno na pesa imepungua kwenye mzunguko huku serikali ikija na takwimu feki kuhadaa umma. etc, etc.
Sasa nafikiri umeelewa sababu.
 
Hakuna lolote zaidi ya mapichapicha tu!!!
 
Katiba katiba katiba mpya,itatupelekea kua na taasisi makini na zenye tija..zaidi anazidi tengeneza maugomvi yasiyo namana..hua nawaza akiondoka yeye itakuaje atakayekuja.ndomana nampa chapue lisu anaweka wazi mambo kuliko huyu mviziaji
 
Kwani yeye ni msafi kiasi gani kama si tabia yake ya visasi. Kama mwanaume kweli amnguse change, dr dau, jk nk.
Hata akiwagusa hao uliowataja bado hautamkubali tu!!
 
Mwaka 1990 exchange rate ya shillingi kwenda dollar ilkuwa TZS 20 hivyo mkopo wake ulikuwa wa thamani ya Us$ 100,000,000/20 = USD 5,000,000.

Thamani ya huo kopo kwa leo ni US$ 5,000,000 X TZS 2180 = TZS 10.9 billion
 
Miaka ya 90 alikopa 100m? Daaaa mbona hayupo kabisa kwenye list ya matajiri TZ? Pesa Aliwekeza Kwenye "LA YUYU"?
 
Kamanda kunywa maji baridi utulie
 

Huyu mzee naona mnataka afe kabla ya siku zake... Maskini, siku ya kufa nyani miti yote huteleza
 
Huyu mzee hizo pesa alipeleka wapi hadi abaki tu kurithi wajane wa the R.I.P.s. He is a failed human investment.
Angekuwa Chadema angeishaungana na akina Ruge long time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…