Wassira amgomea JPM, asema halipi deni la Commodity Import Support. Akataa wito, Task Force kutuma Polisi. Yeye adai yuko tayari kupigwa pingu!

Linapokuja suala la kupambana na wakwepa kodi automatically nakuwa upande wa JPM
Likiisha hili....awamu ya 6 itafukua kaburi la uuzwaji wa nyumba za serikali kipindi cha awamu ya 3....

Hapo tutawajua akina Sundi Malomo(Rip Muhingo Rweyemamu)
 
JPM awabane Tu hawa wazee wasimtishe na pande zao za siasa sijui team nani kwanza sasa hivi hawana nguvu yoyote ya kisiasa na hawawezi kumtisha JPM.
Wameziba nafasi za wafanyabiashara halisi Kwa nafasi zao za kisiasa ili wachukue mikopo na wakaitafuna badala ya kufanya biashara, wabanwe walipe ndio waleta umaskini hawa, hizi pesa ni nyingi serikali ikikamata mali zao hawa na kuziuza watapata mitaji ya kutosha kuwakopesha wamachinga.
Namkumbusha JPM kuna pesa zingine za mkopo alitoa Kikwete maarufu kama mabilioni ya Kikwete na zenyewe walipeana wanasiasa wabanwe wazilipe ndio tutapata pesa za kukopesha wamachinga
 
Huyu mzee hizo pesa alipeleka wapi hadi abaki tu kurithi wajane wa the R.I.P.s. He is a failed human investment.
Angekuwa Chadema angeishaungana na akina Ruge long time.
Matumizi......Wanasiasa Wana matumizi makubwa mzee baba yaani hata wafanyabiashara Wana subiri

Ova
 
Sawa.... Hiyo aya ya tatu kumbe serikali inapanga kisha inasema tu...kama ni hivyo nchi zote zingekuwa juu kiuchumi...
 
Mak---- oyyyy
Usisahau kutembelea pyramid basi Jpo urudi na kumbukumbu

Ova

Nimeshawaambia nipo likizo kwa Malkia.. nafaidi matunda ya kazi ya mikono yangu.

Nikuletee chokoleti ipi unayopenda haswa?
 
Rais anahusikaje na mikopo ya watu Benk?
Na nyie kuweni na akili hata kidogo
 
MZEE WASIRA MIHADARATI INAMPOTEZA
 
Linapokuja suala la kubana wabadhilifu na washenzi nakuwa na JPM upande mmoja
Wewe ni zero Brain kupindukia, tangu lini Rais akahusika na mikopo ya watu Benk?
Yeye ni Meneja wa Benk? Mikopo ina masharti yake, hakuna mkopo bila dhamana, hiyo ni kazi ya Bank na Mahakama, Rais anakujaje? Kuishi kote huko ulaya, kichwani uko mweupe hivyo
 
Likiisha hili....awamu ya 6 itafukua kaburi la uuzwaji wa nyumba za serikali kipindi cha awamu ya 3....

Hapo tutawajua akina Sundi Malomo(Rip Muhingo Rweyemamu)

Nyumba zitarudishwa baada ya kura 2020, January 2021 zinarudishwa zote kwani walikuwa na mkataba wa kutokuuza au kubadilisha chochote mpaka baada ya miaka 25!!!!!!! Kama kuna aliyeuza itakula kwao! JPM huyo! hana simile na mali za Taifa/Umma.
 
Linapokuja suala la kupambana na wakwepa kodi automatically nakuwa upande wa JPM
Umeingia mkenge mkuu. Jiwe hajawahi pambana na wakwepa kodi bali anapambana na mahasimu wake wa kisiasa. Nyuma ya pazia utakuta Wassira yuko team nyingine. Tunahitaji mtu anayepambana na ufisadi kwa utashi na sio kutumia vita vya ufisadi km fimbo ya kuwachapia wapinzani wake !
 
Okay.....kumbe awamu ya 6 inaingia mwaka 2020....

Let's wait and see!
Nyumba zitarudishwa baada ya kura 2020, January 2021 zinarudishwa zote kwani walikuwa na mkataba wa kutokuuza au kubadilisha chochote mpaka baada ya miaka 25!!!!!!! Kama kuna aliyeuza itakula kwao! JPM huyo! hana simile na mali za Taifa/Umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…