Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadi yake ya NCCR ameirudisha?Akihojiwa TBC kada wa CCM mzee Wassira amesema Chadema ndio waliasisi siasa za vurugu kupitia Operesheni sangara tena Zitto Kabwe akiwemo.
Chadema waliwaambia wananchi wa Kanda ya Ziwa wawazomee wanaovaa sare za kijani
Zitto Kabwe alimpinga vikali na kumwambia Operesheni Sangara ililenga kuwaondolea umaskini wananchi wa Bunda Grits na Mwanza waliokuwa wanaongoza kwa ufukara nchini.
Pia mzee Wassira amesema kama lengo la Chadema kudai Katiba mpya ni kutaka serikali 3 basi hizo ni ndoto za mchana kwani CCM itapinga kwa nguvu zake zote.
Chanzo: TBC
Kwani Tundu Lisu alirudisha?Kadi yake ya NCCR ameirudisha?
Kwa hiyo atajitetea akiwa mabegani mwa TAML?Kwani Tundu Lisu alirudisha?
Njaa inawaibua wengi ndugu acha kabisaa !!Duh! Mzee Wasira bado yupo? Nakumbuka ile Hotuba ya Mh. Makongoro Nyerere…. hahahaha…. haichoshi kila nikiisikiliza nacheka tu mpaka machozi…. inaonekana kama utani lakini ni kweli kabisa.
Kasema Mbowe ni kama Mtume PauloNjaa inawaibua wengi ndugu acha kabisaa !!