Wassira asema CHADEMA iliasisi siasa za vurugu kupitia Operesheni Sangara. Asisitiza Serikali 3 ni mwiko

Kadi yake ya NCCR ameirudisha?
 
Duh! Mzee Wasira bado yupo? Nakumbuka ile Hotuba ya Mh. Makongoro Nyerere…. hahahaha…. haichoshi kila nikiisikiliza nacheka tu mpaka machozi…. inaonekana kama utani lakini ni kweli kabisa.
Njaa inawaibua wengi ndugu acha kabisaa !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…