Mhe. Stephen Wassira akiwa katika kipindi cha Dakika 45 ITV amesema mvutano na mabishano ya wajumbe wa Bunge la Katiba ndio uimara wa chombo hicho ili kufikia maridhiano.
Ameongeza kuwa kwa Tafasri ya Sheria ya Mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba inao uwezo wa Kujadili, Kubadili, na hata kurekebisha kipengele chochote katika Rasmu iliyopo.
Wassira ni mweledi wa kufafanua mambo, kipindi kina mvuto kusikiliza.
Ameongeza kuwa kwa Tafasri ya Sheria ya Mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba inao uwezo wa Kujadili, Kubadili, na hata kurekebisha kipengele chochote katika Rasmu iliyopo.
Wassira ni mweledi wa kufafanua mambo, kipindi kina mvuto kusikiliza.