Nipo makini na channel ninayoipenda sana ITV nikiangalia Wassira na Buhohela wakinipa elimu ya kutosha juu ya Bunge Maalumu la Katiba.
Wassira anatoa nondo Safi sana.
Hizo nondo Zinafaa kujengea hata kibanda umiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo makini na channel ninayoipenda sana ITV nikiangalia Wassira na Buhohela wakinipa elimu ya kutosha juu ya Bunge Maalumu la Katiba.
Wassira anatoa nondo Safi sana.
Ni kweli kabisa hatuwezi kubeba gharama za serikali 3 kunufaisha wanasiasa na vyeo vyao,tunataka kodi zetu zihusike na matatizo yetu ya umasikini,afya,elimu na kilimo.
Nilivyowasha TV nikakashutuka, maana nilifikiri ni Nyala ya Serikali imeletwa ITV.
Mlolongo wooote wa nini?? Make one, Zanzibar iwe Mkoa. Tumemaliza
haha yan ukimwangalia wassira unaamin kabsa kua binadam ametokana na nyani...hahaha
Huyo ndie Rais wetu 2015, we endelea kubeza na kudharau.
Mdharau mwiba mguu huota tende.
Hiyo nayo ni faida kubwa.Akiwa Rais lazima Utalii uongezeke maana hata yeye ni kivutio.
Yeye anasimamia chai na juisi za ikulu ndio maana akisikia viongozi wa upinzani wanakwenda ikulu huwa anagomba sana kwamba wanafuata hizo. Anaitwa Steven Wassira a.k.a Chaijuisi sio TysonIvi kumbe Wassira ni handsome ivi? Tangu lini akawa Spokeman wa SIRIKALI?
Kuchanganyikiwa sio lazima uokote makopo.Yeye anasimamia chai na juisi za ikulu ndio maana akisikia viongozi wa upinzani wanakwenda ikulu huwa anagomba sana kwamba wanafuata hizo. Anaitwa Steven Wassira a.k.a Chaijuisi sio Tyson