johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa Mbunge akiwa na umri wa miaka 23.
Leo amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM akiwa na miaka 80.
Amezaliwa mwaka 1945 na Taifa la Israel liliasisiwa mwaka 1947.
Ahsanteni sana 😄😄
Pia soma: Uchaguzi 2025 - Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara