johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Dr Salim aliteuliwa Balozi akiwa na miaka 20 πMiaka 23 nilkua bado naomba hela kwa wazazi π€£Dah maisha yanatofauti
Sio kweli record inashikiliwa na Anna Makinda aliyechaguliwa mbunge akiwa na miaka 21Alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa Mbunge akiwa na umri wa miaka 23
Leo amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM akiwa na miaka 80
Amezaliwa mwaka 1945 na Taifa la Israel liliasisiwa mwaka 1947
Ahsanteni sana ππ
Kafulila alichagulowa akiwa na ngapi?Alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa Mbunge akiwa na umri wa miaka 23
Wassira bado kijana sana.Watu wanaishi hadi miaka 125 na wanapiga soga mbalimbali.
NB;Hapa kijijini Bitaraguru-Bunda tunamfanyia sherehe kubwa.
Binadamu hukosea.Jedwali limekosewa hilo.π
Naam, mzee wetu aendelee kuchapa KAZI maana uzoefu wa miaka 57 siasa ni mtaji tosha kwa utumishi Bora.
Alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa Mbunge akiwa na umri wa miaka 23.
Leo amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM akiwa na miaka 80.
Amezaliwa mwaka 1945 na Taifa la Israel liliasisiwa mwaka 1947.
Ahsanteni sana ππ
Pia soma: Uchaguzi 2025 - Stephen Wassira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Mbunge wa Jimbo gani? ππSio kweli record inashikiliwa na Anna Makinda aliyechaguliwa mbunge akiwa na miaka 21
Sio aliteuliwa, Wassira kuchaguliwa.Sio kweli record inashikiliwa na Anna Makinda aliyechaguliwa mbunge akiwa na miaka 21
Hakuteuluwa aligombea kupitia kundi la vijana wa CCM jimbo la vijana wa CCM akashinda huko ndio akaingia bungeni hakuingia kupitia viti maalumu vya kuteuliwaSio aliteuliwa, Wassira kuchaguliwa.
Btw, kuna watu wana bahati.
AiseeAmezaliwa mwaka 1945 na Taifa la Israel liliasisiwa mwaka 1947.