Pre GE2025 Wassira: Hatukuahidi kuachia madaraka baada ya muda tulipopata uhuru. Hatutumii jeshi kubaki madarakani, tunachaguliwa

Pre GE2025 Wassira: Hatukuahidi kuachia madaraka baada ya muda tulipopata uhuru. Hatutumii jeshi kubaki madarakani, tunachaguliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Stephen Wassira mkoani Dar yanaendelea wakati huumkoani Dar es Salaam January 26, 2025.

Wacha tuone nini watatuchia na neno gani leo Jumapili tulivu.


Wasira amesema baada ya kupata uhuru kutoka kwa wakoloni hawakutoa ahadai ya kukaa kwa kipindi fulani madarakani halayafu waaachie, sasa hizi kelele za kuwaambia wamekaa sana madarakani zinatoka wapi? Asema kama wana matatizo na hilo wazungumzo na watanzania maana wao ndio wanawapa ridhaa ya kuendelea kuongoza kwasababu hawachukui nchi kwa dola.


Wassira ameongeza pia wanaosema wamekaa miaka 60 na hakuna walichofanya wanatakiwa kusamehewa sababu wahajuli wasemacho kwani kuna maendeleo makubwa ukilinganisha wakati tumepokea uhuru na sasa. Maneno hayo ni sababu wamegoma kujifunza juu ya mengi yaliyofanywa na serikali na CCM kwa ujumla.

 
Aaaaah Malugu weeeeeh siasa sasa hivi zinaendeshwa mitandaoni una hata akaunti twiter lakini🤣
 
Tungeingia kazini tuachane na mambo ya shamrashamra hayana tija zaidi ya kuwaneemesha watu fulanifulani wachache
 
Waje tu kina Karl peters na Dr Livingstone tuanze upya…..
 
Hata kumjibu kwa hoja kali huyu mzee najisikia vibaya, CCM wana dhambi sana.
Hawa wazee ni wa kupewa vipaumbele katika afya zao (mapumziko/kustaafu), ila ndio wanawazungusha kama wanasesere!
 
Huyu mzee huyu dawa yake ni Mtoto wa Mwalin ,Makongoro
Wakuu,

Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Stephen Wassira mkoani Dar yanaendelea wakati huu.

Wacha tuone nini watatuchia na neno gani leo Jumapili tulivu.


Wasira amesema baada ya kupata uhuru kutoka kwa wakoloni hawakutoa ahadai ya kukaa kwa kipindi fulani madarakani halayafu waaachie, sasa hizi kelele za kuwaambia wamekaa sana madarakani zinatoka wapi? Asema kama wana matatizo na hilo wazungumzo na watanzania maana wao ndio wanawapa ridhaa ya kuendelea kuongoza kwasababu hawachukui nchi kwa dola.

 
Wakuu,

Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Stephen Wassira mkoani Dar yanaendelea wakati huu.

Wacha tuone nini watatuchia na neno gani leo Jumapili tulivu.


Wasira amesema baada ya kupata uhuru kutoka kwa wakoloni hawakutoa ahadai ya kukaa kwa kipindi fulani madarakani halayafu waaachie, sasa hizi kelele za kuwaambia wamekaa sana madarakani zinatoka wapi? Asema kama wana matatizo na hilo wazungumzo na watanzania maana wao ndio wanawapa ridhaa ya kuendelea kuongoza kwasababu hawachukui nchi kwa dola.


Ateembee na pampaz huyo mzee wasijekupata aibu
 
Kauli ya huyu mzee ni moja ya mfano halisi hata wapumbavu wanazeeka
 
Kauli ya huyu mzee ni moja ya mfano halisi hata wapumbavu wanazeeka
mkuu kutomwelewa huyu mzee sio jambo baya utaeleweshwa utaelewa maana wote hamuwezi kuelewa sawa,kulikua hakuna sababu yoyote ya kuchelewa usiwe na shaka kama hujaelewa huyu mzee katiba ya CCM iko kichwani mwake ndugu.

ni mambo yako dunia nzima ndugu ni utamaduni wa heshima mama kupeperusha bendera mitano tena
 
27 November 2024
Dodoma, Tanzania

UCHAGUZI WA TAMISEMI 2024
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Dodoma, Aisha Madoga amedaiwa kufanya fujo kwenye kituo cha kupigia kura cha Mlimwa Site One kwa kuwazuia kwa muda wananchi kupiga kura kwa madai kuwa kuna watu ambao siyo wakazi wa mtaa huo ambao wameruhusiwa kupiga kura...


View: https://m.youtube.com/watch?v=C3SVwmx5q34
 
Back
Top Bottom