johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu una ji contradict sana, Hueleweki unasimamia msimamo upi?Wameanza tena hoja kuu za wanasiasa wa Tanzania ni CCM serikali mbili na Chadema tatu , CCM muungano ni legitimacy chademo hamaamini ...
CCM na Yanga Ndio Wananchi wenyewe!Katiba ni kwa mujibu wa maoni ya wananchi siyo CCM
Muungano una faida gani kwa Tanganyika?Wameanza tena hoja kuu za wanasiasa wa Tanzania ni CCM serikali mbili na Chadema tatu , CCM muungano ni legitimacy chademo hamaamini...
Tanganyika gani?Muungano una faida gani kwa Tanganyika?
CCM na Yanga Ndio Wananchi wenyewe!
Ni jambo jemaNadhani upinzani usikazanie kupata kila kitu.
Tume huru ni mwarubaini wa matatizo mengi.
Aache ujinga wake, who is he?Wassira amemwambia Zitto Kabwe kwamba Ukitaka Serikali 3 ujue hakuna Katiba Mpya itakayopatikana
Tunataka serikali MOJAMzee Wassira kupitia mahojiano maalum yaliyofanywa na TBC yakimuhusisha pia Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amesema Sera ya CCM kuhusu...
Alishasema nani mh Kishikwambi?Tumia akili alishasema zibaki mbili KWA utafiti uliokwisha fanyika!!!
Una uhakika na ulisemalo?Katiba ni kwa mujibu wa maoni ya wananchi siyo CCM