battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,712
- 2,577
Hakuzeeka yeye tuu, bali na CCM imekwisha zeeka mno.Huyu mzee Wasira akili ishazeeka mwambieni apumzike.
Kila kitu husimama kwa misingi yake,
Msingi huwekwa mara moja tuu .Msingi wa SISIEMU ni dhaifu mno wenye dira za kumtowa mkoloni,hofu yao siku zoto ni mkoloni kurudi.
WAFUATILIENI kwenye hotuba zao?
Kila kitu CCM wanakipa taswira ya Mkoloni.
Pili wanasingizia Umoja wa kitaifa wakati wao ndio wanauvunja.
CCM kwishneh Haina Sera Ya TAIFA wala DIRA