Hakuzeeka yeye tuu, bali na CCM imekwisha zeeka mno.Huyu mzee Wasira akili ishazeeka mwambieni apumzike.
Irrelevant figures..Hoja ya serikari za majimbo inayopigiwa chapuo na CHADEMA haina tija.Tanzania ina ukubwa sawa na jimbo la Texas. Kuwa na majimbo yenye magavana, mabunge na mabaraza ya mawaziri ni kuongeza gharama za utawala. Bunge moja tunalalamika sembuse mabunge 20. Tuache kuigiza"
Ungemjibu hoja yake na si kumshambulia. Kwani Babu yako hajazeeka au babaako hatazeeka? PUMBAVU!Huyu mzee ameanza anataka kutuharibia nchi kisa tumbo na tamaa zake,atupe hizo gharama halisi za majimbo ukilinganisha na gharama za kuendesha nchi kwa bajeti ambayo hata 50% haijawahi fikiwa.
Wazee kama hawa hawafai ni wanazi na waliojaa uhafidhina.
Serikali za majimbo ni cheap zaidi kuliko muundo wa sasa.
Chadema inachosema ni kwamba hizi kanda za hivi Sasa ndiyo ziwe majimbo (mfano kanda ya ziwa yenye mikoa zaidi ya 5 ) iwe Jimbo moja.
Chukua hiyo mikoa 5 Ina wakuu wa mikoa 5, wakuu wa wilaya zaidi ya 40, maRAS 5 , maDAS 40, maDED 40, maDEO 40, maREO 5, maRPC 5, maOCD 40, wabunge 60, n.k
Serikali ya Jimbo ni cheap mno kuliko ilivyo hivi Sasa. Huyu mzee Wasira akili ishazeeka mwambieni apumzike.
Majimbo yatasababisha mgawanyiko na hata kutaka kujitenga. Tumeona Ethiopia vita kali ya kutaka kujitenga jimbo la tigray kaskazini ya nchi hiyo. Pia Nigeria hakuna usalama wala utawala bora kutokana na majimbo. Huku mashariki majimbo yaliyowahi kupigana vita ili kujitenga na kuunda nchi ya biafra kwenye miaka ya 60 leo yameanza tena kupigana kutaka kujitenga.
Usijiite great tinker km wewe ni shallow thinker. Hizo sehemu zote ulizotaja Zina historia ya ukabila tangu enzi na hawajawahi kupata muafaka wa kudumu na ni maeneo yanayokaliwa na aina moja ya kabila linalohitaji kujitawala. Kwa Tanzania tungefananisha na kabila la Wasukuma baada ya uhuru walitaka Kisuma ndio iwe lugha ya Taifa kwa sababu ya wingi wao. Lakini Mwlm Nyerere kawaminya sehemu nyeti wakatulia ndiyo kikatangazwa Kiswahili lugha ya Taifa ili kuondoa ukabila. Ndiyo maana Mwlm Nyerere alikemea sn watu kuulizana kabila.Majimbo yatasababisha mgawanyiko na hata kutaka kujitenga. Tumeona Ethiopia vita kali ya kutaka kujitenga jimbo la tigray kaskazini ya nchi hiyo. Pia Nigeria hakuna usalama wala utawala bora kutokana na majimbo. Huku mashariki majimbo yaliyowahi kupigana vita ili kujitenga na kuunda nchi ya biafra kwenye miaka ya 60 leo yameanza tena kupigana kutaka kujitenga.
Huo msumari wa moto kweli, tunaposema wazee ni hazina tuelewane tu palipo na wazee haliharibiki jambo.
CHADEMA ni weupe sana kichwani, unapouzungumzia serikali unazungumzia mamlaka kamili yenye kila kitu ndani yake. Sasa wanajiokotezea vitu impractical mitandaoni wanataka ku practice kwetu