Wassira: Mnataka serikali za majimbo mnafahamu zilivyo na gharama au mnaigiza tu

Huyu mzee Wasira akili ishazeeka mwambieni apumzike.
Hakuzeeka yeye tuu, bali na CCM imekwisha zeeka mno.
Kila kitu husimama kwa misingi yake,
Msingi huwekwa mara moja tuu .Msingi wa SISIEMU ni dhaifu mno wenye dira za kumtowa mkoloni,hofu yao siku zoto ni mkoloni kurudi.
WAFUATILIENI kwenye hotuba zao?
Kila kitu CCM wanakipa taswira ya Mkoloni.
Pili wanasingizia Umoja wa kitaifa wakati wao ndio wanauvunja.
CCM kwishneh Haina Sera Ya TAIFA wala DIRA
 
Kuna majimbo 13 Marekani yenye udogo wa chini ya km² 100,000. Tunaweza kuwa na majimbo 10 tu, sio 50 kama Marekani.
 
Ungemjibu hoja yake na si kumshambulia. Kwani Babu yako hajazeeka au babaako hatazeeka? PUMBAVU!
 
Texas ya wapi iko sawa na TZ huyu mzee!!? Kwanza serikali za mikoa na wilaya za sasa mbona ni serikali kamili. Zina kila kitu na idara za kuwa serikali kamilifu. Gharama za kuziendesha zikoje? Waseme hawataki wakazi wa eneo husika wajiamulie masuala yao ya maendeleo. Wanachotaka ni fedha zote ziingie magogoni na waanze kuzitoa kama zawadi na takrima.
 
Na hizo Halmashauri ndogo ndogo za wilaya zinaunganishwa ndizo zinakuwa mabunge ya majimbo.
 
Mbona Kenya hakuna mgawanyiko?
 
Sasa garama zikiwa kubwa situmeambiwa tutakatwa tozo kwa manufaa ya nchi yetu?

Hata wafanye kilajimbo liwe na Rais wafanyetu hivyo
 
Usijiite great tinker km wewe ni shallow thinker. Hizo sehemu zote ulizotaja Zina historia ya ukabila tangu enzi na hawajawahi kupata muafaka wa kudumu na ni maeneo yanayokaliwa na aina moja ya kabila linalohitaji kujitawala. Kwa Tanzania tungefananisha na kabila la Wasukuma baada ya uhuru walitaka Kisuma ndio iwe lugha ya Taifa kwa sababu ya wingi wao. Lakini Mwlm Nyerere kawaminya sehemu nyeti wakatulia ndiyo kikatangazwa Kiswahili lugha ya Taifa ili kuondoa ukabila. Ndiyo maana Mwlm Nyerere alikemea sn watu kuulizana kabila.

Kwa mazingira ya sasa Tanzania haiwezi kuwa na ukabila. Mfano kanda ya Ziwa ina makabila karibu 100 sasa hapo kwa utaratibu wa utawala wa Majimbo utaleta vipi ukabila. Watu wasifananishe nchi zenye makabila machache makuu na Tanzania isiyo na kabila kuu kuliko lingine.

Someni historia msidandie vitu. Archives zipo kwa ajili ya watu kupata maarifa. Mnang'ang'ana na Biology wakati hata nguvu za kiume hamna.
 

Majimbo vs uongozi wa mkoa na wilaya pamoja na madiwani [emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…