Wastaafu nitawashangaa mkiwapa kura wanaowakandamiza na kikokotoo

Wastaafu nitawashangaa mkiwapa kura wanaowakandamiza na kikokotoo

mfate42

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
4,034
Reaction score
4,792
Kama kichwa Cha habari kinavyosema,...ntawashangaa Sana wafanyakazi watakaowapigia kura hawa viongozi wanaoendelea kuwakandamiza kwa kupigia debe ulipaji kwa njia ya kikotoo ambAcho Ni kandamizi kwa wastaafuuu..

Ndalichako nakuheshimu Sana..ila kwa hoja yako bungeni ambayo inawakandamiza wastaafu nimekuchukia kwa kiwango Cha hali ya juu...na ningekuwa kigoma usingepata kura yangu... Wewe unalipwa mamilion ya pesa na pia kiinua mgongo chako Ni zaidi ya milion 500...Leo unaunga mkono kikokotoo kinachowakandamiza wafanyakazi wengine kwa ujumla..

Futa kauli yako mapema Sana wewe na hao wengine mnaounga mkono hicho kikotoo kwa vile hakiwagusi...nyie..la sivyo tuwakabidhi kwa Mungu ili awafundishe kuwapenda wenzenu Kama nafsi zenu...
 
Hakuna viumbe wa ajabu nchi hii kama walimu na wastafu! Sijajuwa sijui walilishwa limbwq cjui
 
Hilo kundi ni watu wachache mno, ungeongelea jobless ungeeleweka
 
Sasa watu wenyewe wanaiba hizo kura hadharani! Hata wasipowapigia kura mnona watashinda tu.

Bora hata sisi wengine tulioamua kuacha kabisa kushiriki kwenye huo upuuzi mpaka hapo tutakapo hakikishiwa usalama wa kura zetu.
 
Kwani hao wanaowakandamiza wanahitaji kura ya yoyote kukaa madarakani?
 
Hakuna viumbe wa ajabu nchi hii kama walimu na wastafu! Sijajuwa sijui walilishwa limbwq cjui
nadhani wenye shida hasa ni walimu sababu kwanza ni wengi tulitegemea wao wawe mfano kwa wengine lkn badala yake wanakubali kuingiziwa siasa kwenye chama chao ambacho kingekuwa mkombozi kwao.
 
Kama kichwa Cha habari kinavyosema,...ntawashangaa Sana wafanyakazi watakaowapigia kura hawa viongozi wanaoendelea kuwakandamiza kwa kupigia debe ulipaji kwa njia ya kikotoo ambAcho Ni kandamizi kwa wastaafuuu..

Ndalichako nakuheshimu Sana..ila kwa hoja yako bungeni ambayo inawakandamiza wastaafu nimekuchukia kwa kiwango Cha hali ya juu...na ningekuwa kigoma usingepata kura yangu... Wewe unalipwa mamilion ya pesa na pia kiinua mgongo chako Ni zaidi ya milion 500...Leo unaunga mkono kikokotoo kinachowakandamiza wafanyakazi wengine kwa ujumla..

Futa kauli yako mapema Sana wewe na hao wengine mnaounga mkono hicho kikotoo kwa vile hakiwagusi...nyie..la sivyo tuwakabidhi kwa Mungu ili awafundishe kuwapenda wenzenu Kama nafsi zenu...
Kikokotoo ni kandamizi mnoo!
Sidhani kama kitafika 2025.
Asipokuwa makini anaweza kuondoka nacho. Wastaafu watarajiwa ni wengi mnooo ukichanganya na ndugu zao
 
KATIKA WATU AMBAO WATAPOTEA KABISA KWENYE NGWE YA PILI YA DURU ZA KISIASA ZA TANZANIA NI HUYU NDALICHAKULA.



NI PROFESA ILA NI HAJIELEWI, TOKA YUKO WIZARA YA ELIMU AMEJAA CHUKI NA MIPANGO YA HOVYO


HIVI HUYU NAYE NI PROFESA???

NINA DEGREE ILA UKINIWEKA TUSHINDANE HOJA NA YEYE HANIFIKIII HUYU BIBI
 
KATIKA WATU AMBAO WATAPOTEA KABISA KWENYE NGWE YA PILI YA DURU ZA KISIASA ZA TANZANIA NI HUYU NDALICHAKULA.



NI PROFESA ILA NI HAJIELEWI, TOKA YUKO WIZARA YA ELIMU AMEJAA CHUKI NA MIPANGO YA HOVYO


HIVI HUYU NAYE NI PROFESA???

NINA DEGREE ILA UKINIWEKA TUSHINDANE HOJA NA YEYE HANIFIKIII HUYU BIBI
watu wa kigoma ndivyo walivyo ni damu za kirundi(Tutsi).wana roho mbaya sana kama ndugu zao wa burundi.
 
SERIKALI INAJINASIBU KUWA NI SIKIVU LAKINI KWA HILI TUNAIONA SERIKALI ILIYOJAA KIBURI NA UKANDAMIZAJI.
 
Back
Top Bottom