JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Wastaafu zaidi ya 5,000 Mkoani Dar es Salaam wamesema wanapata shida katika uzee wao kwani hawana elimu ya matumizi ya fedha na uwekezaji pindi wanapofikia hatua ya kustaafu na kupewa pesa nyingi ambazo wengi huwa zinachanganya.
Hata hivyo katika kikao hicho ambacho Serikali kupitia Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imechukua jukumu la kuwakusanya wastaafu na kuwapa elimu ya fedha ili waweze kujinusuru katika umaskini ambao umewakuta walio wengi.
Source: EA Radio