Hizi ndio Bange..., (Bangi), wewe ushastaafu ndio maana una pension tunakupa kidogo kidogo ili utumie na usiwe mzigo kwa jamii..., uzuzu ni kutoka kwenye shughuli na badala ya kulia kivulini kukimbia na kuhangaika sijui kuwekeza hapa na pale...
Hapo naona ni hio Benki ya Biashara inataka kuwatumia kama fursa kwa kuwapa vipackage vya ajabu ajabu na mwisho wa siku kuwakata kwenye monthly pensions zao hence kuwa mzigo tena wa jamii...
Tena hao wazee washukuru angalau wana-pension this crop wa hawa jobless wa sasa uzeeni hawajui wapi watapata hape senti za kununulia panadol