DOKEZO Wastaafu wa TAZARA tunasotea stahiki zetu huu Mwaka wa 20, Rais Samia tusaidie

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hapo hujasemea Kikokotooo
 
Wazee wa jumuiya ya Africa mashariki wanakufa tu mmoja mmoja mpaka leo hawajalipwa.
wale walilipwa tena kwa awamu mbili. Mimi ninao shemegi zangu wawili na wote walilipwa.

Lakini wale walipiga mikwara ya uhakika ndiyo wakalipwa. Sijui kama unakumbuka ilifikia mpaka wengine kulala barabarani ndiyo serikali ikachukuwa hatua.

Sasa hao wa TAZARA wakijifanya wastaarabu watakufa na ustaarabu wao. Hatua ya kwanza ni kueleza masikitiko yao kwenye vyombo vya habari na hii ndiyo itamfikia Raisi kwa urahisi zaidi kuliko kulalamika pembeni.
 
Yeyote mwenye ufahamu asaidie kunijibu.

Nini kitasababisha pesa ya wastaafu isitolewe kwa kipindi chote hichi?

Kwa miaka 20 yote serikali ilikua inajibu nini?

Nilikua bado mdogo kufuatilia vitu ila nakumbuka kuna wazee walilala barabarani kudai mafao yao. Sijajua walikua ni TAZARA ama la
 
Usiandike kitu usichokijuwa, Mkapa aliwalipa flat rate ya nauli million 3 na mabosi mpaka million 15.

Hawajalipwa haki zao mpaka sasa wamefunga kesi Kwa serikali ya Uingereza na wameshinda.

Kinachoendelea NI process ya serikali ya Uingereza kuwalipa.
 
kwanza nipende kutoa shukran zangu kwa rais wetu Samia S. Hassan. ulipo andika CCM nimeishia kusoma. na bado
 
siyo kweli na wewe, mimi ninao shemegi zangu wawili walikuwa wafanyakazi wa railways na walilipwa kwa awamu mbili ndiyo mana nilijua. Na walipokuwa wanashughulikia issues zao walikuwa wanafikia nyumbani kwetu.

Labda kuna wale ambao hawakuwa na documents za uajiri (wenyewe wamekufa wanaodai ni warithi) ndiyo ilikuwa matatizo sana kuhusu malipo.

Na walipokuwa hawajalipwa walikuwa wanalala mpaka mabarabarani na maandamao kibao, mbona sasa kimya?
 
Bora nikuignore tu, nenda Keko Masantula alhamisi vikao vinafanyikia hapo.
 
Kama upo sehemu ukipata nafasi ya kuchota we chota shauri yako hawanaga shukran hawa jamaa.
 
Huu mtindo wa kila mtu mwenye shida ''kusali sala ya Taifa'' na kumalizia kwa kibwagizo cha ''tumaini letu pekee liko kwa Samia'' hautawasaidia enyi wabongo. Huyu ''mungu'' wenu mnayemlilia ndiye ameifikisha nchi hapa ilipo. Tegemeo pekee ni kuingana na wanaodai katiba mpya ili nchi iwe na mabadiliko.
 
Mbona kama mtoto wa mstaafu hivi umeandika uzi kwa machungu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…