DOKEZO Wastaafu wa TAZARA tunasotea stahiki zetu huu Mwaka wa 20, Rais Samia tusaidie

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Umeandika kwa uweledi Ndugu. Respect
 
Hili jambo la kusikitisha sana. Inawezekana vp Mtumishi / Amefanya kazi kwa kipndi chote hcho tena kwa ufanisi mkubwa na kuingizia Taifa pesa. Leo hii nyie wazee au vijana ambao mpo kazni hatak kuwalipa hao wazee wanyonge Stahiki zao........?
Nnaomba sana Waziri mwenye Dhamana na hili jambo nnakupa siku 14 hujibu hoja za hawa wazee na wapewe Stahiki zao.
 
Watu kama nyie (hapa namaanisha mzee wako mleta mada na wenzake wanaojiita wazee wa chama), ndio mnazuia ukombozi wa pili wa taifa hili.
 
Inaumiza sana..
mwigulu Nchemba kama waziri fedha unalipi lakuwaambia hawa wastaafu
 
Vp ameshalipwa?
 
Mwaka wa uchaguzi yataibuka mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…