Wastani katika chumba kimoja cha darasa ni wanafunzi wangapi na choo tundu moja wanafunzi wangapi?

Wastani katika chumba kimoja cha darasa ni wanafunzi wangapi na choo tundu moja wanafunzi wangapi?

Nduna shujaa

Senior Member
Joined
Aug 14, 2022
Posts
163
Reaction score
134
Wandugu tufahamishane na kushauri hapa kwa manufaa ya watoto wetu. Nimepita ktk shule za msingi mkoani Ruvuma ktk kata moja ya Mshangano. Kwenye shule ya s/m Mshangano kati inawanafunzi 842 na ina madarasa 7, wastani kila darasa wanafunzi 120.

Ina matundu ya vyoo 10, wastani kila tundu watoto 84. Je afya za watoto hapa zitakuwa sawa? Ktk s/m Lipupuma kuna watoto 540 na madarasa 9 wastani wanafunzi 60 kwa darasa na matundu ya vyoo 10 wastani watoto 54 katika tundu moja. Serikali ichukue hatua katika kuboresha mazingira ya shule zetu kuanzia miundombinu, taaluma na afya za watoto, maji ya kutawazia wanachota mtoni au kwa majirani hawa watoto.
 
Hizo changamoto ni kwa shule zote za serikali Tz, hasa ktk mikoa ambayo watu wake hawaoni umuhim wa elimu...
All in all kwa shule ya msingi darasa moja wanafunz wasizidi 45. Kwa secondary darasa moja wanafunz wasizidi 40.
Secondary na Primary kwa upande wa vyoo uwiano ni sawa, inatakiwa tundu moja watumie Wanafunz wa kike 20. Kwa wavulana tundu moja watumie wanafunz 25.
 
Wandugu tufahamishane na kushauri hapa kwa manufaa ya watoto wetu. Nimepita ktk shule za msingi mkoani Ruvuma ktk kata moja ya Mshangano. Kwenye shule ya s/m Mshangano kati inawanafunzi 842 na ina madarasa 7, wastani kila darasa wanafunzi 120.

Ina matundu ya vyoo 10, wastani kila tundu watoto 84. Je afya za watoto hapa zitakuwa sawa? Ktk s/m Lipupuma kuna watoto 540 na madarasa 9 wastani wanafunzi 60 kwa darasa na matundu ya vyoo 10 wastani watoto 54 katika tundu moja. Serikali ichukue hatua katika kuboresha mazingira ya shule zetu kuanzia miundombinu, taaluma na afya za watoto, maji ya kutawazia wanachota mtoni au kwa majirani hawa watoto.
Watoto 45 Kwa chumba kimoja Cha darasa.

Kwa matundu ya vyoo.

- Tundu Moja ( Watoto 25 ) Kwa Wavulana.

- Tundu Moja ( Watoto 20 ) Kwa wasichana.
 
Mwongozo ni kuwa

Wastani wa darasa ni 1:45 kwa maana ya kuwa darasa moja wasizidi wanafunzi 45 japo kwa mujibu wa TAMISEMI kuanzia mwaka 2021 waliruhusu wastani wa 1:50

Kwa upande wa matundu ya vyoo inegawanyika kwa jinsi
Wavulana wastani ni 1:25 na
Wasichana wastani 1:20
 
Hizo changamoto ni kwa shule zote za serikali Tz, hasa ktk mikoa ambayo watu wake hawaoni umuhim wa elimu...
All in all kwa shule ya msingi darasa moja wanafunz wasizidi 45. Kwa secondary darasa moja wanafunz wasizidi 40.
Secondary na Primary kwa upande wa vyoo uwiano ni sawa, inatakiwa tundu moja watumie Wanafunz wa kike 20. Kwa wavulana tundu moja watumie wanafunz 25.
Ok
 
Wandugu tufahamishane na kushauri hapa kwa manufaa ya watoto wetu. Nimepita ktk shule za msingi mkoani Ruvuma ktk kata moja ya Mshangano. Kwenye shule ya s/m Mshangano kati inawanafunzi 842 na ina madarasa 7, wastani kila darasa wanafunzi 120.

Ina matundu ya vyoo 10, wastani kila tundu watoto 84. Je afya za watoto hapa zitakuwa sawa? Ktk s/m Lipupuma kuna watoto 540 na madarasa 9 wastani wanafunzi 60 kwa darasa na matundu ya vyoo 10 wastani watoto 54 katika tundu moja. Serikali ichukue hatua katika kuboresha mazingira ya shule zetu kuanzia miundombinu, taaluma na afya za watoto, maji ya kutawazia wanachota mtoni au kwa majirani hawa watoto.
Zama hizi Bado tunazungumzia madarasa na matunda kweli?!
Wao Wana V8 kibao na safari Lukuki!
Nchi ngumu sana hii.
 
Back
Top Bottom