ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Serikali inawezekana inatumia pesa nyingi sana kuhamisha viongozi na watumishi waandamizi wa serikali, Fedha hizo zingeweza kuelekezwa mahala pengine ikiwemo upatikanaji wa huduma za kijamii.
Wastani kuhamisha Kiongozi/ mtumishi mmoja ni kuanzia mil 25 Hadi 40, lakini tofauti na nchi nyingine duniani Tanzania imeweka record ya matumizi makubwa zaidi ya kuhamisha watumishi kuliko nchi yeyote dunia hii.
Ukiachilia Fedha zinazotumika Kusafirisha viongozi nje ya nchi, matumizi ya kuhamisha watumishi imekuwa ni namba mbili, serikali Haina hasara, lengo la kuhamisha watumishi limekuwa likichagizwa zaidi na Siasa kuliko uhitaji wa kuhamisha viongozi hao.
Sasa serikali ijitathmini
Wastani kuhamisha Kiongozi/ mtumishi mmoja ni kuanzia mil 25 Hadi 40, lakini tofauti na nchi nyingine duniani Tanzania imeweka record ya matumizi makubwa zaidi ya kuhamisha watumishi kuliko nchi yeyote dunia hii.
Ukiachilia Fedha zinazotumika Kusafirisha viongozi nje ya nchi, matumizi ya kuhamisha watumishi imekuwa ni namba mbili, serikali Haina hasara, lengo la kuhamisha watumishi limekuwa likichagizwa zaidi na Siasa kuliko uhitaji wa kuhamisha viongozi hao.
Sasa serikali ijitathmini