Wastara aeleza kilichojiri India aibuka na tatizo jipya

Laana ya kumwacha mwanaume aliejitolea kumtibu, kumbebea shida itamtafuna sana
 
Huyu Dada ana matatizo ya akili.
Inahitaji kutibiwa hilo kwanzà.
Pesa gani alizo nazo yeye za kusema aliongeza kwenye m15 alizompa magu?

Eti anahitaji bima kubwa!!
Shit!!
Hizo hela ambazo rais alimpa zingenunua bati nyingi kwa ajili dispensary huko vijijini
 
Pole Wastara Kama ni Kweli maana nyie wasanii akili zenu mnazijua wenyewe.
 
 
Huyu mtu mbona hana shukrani?

Naona analalamika tu, hata sijasikia akimshukuru Mungu na watu wa Mungu waliomchangia fedha.

Sijawahi kusikia mtu analalamika "fEDHA MLIZONIPATIA HAZIKUTOSHA, HADI NIKAONGEZEA NA ZA KWANGU".

Huu ni zaidi ya upumbavu!

Wacha chuki za kijinga, Wastara ameshukuru mara lukuki waliomchangia inatosha kama wewe ulimchangia kamdai pesa zako, ebho!
 
Acha au punguza kugegedwa sasa upumzishe mguu na kiuno na utakaokuwa unawapa zigo uwe unawaaomba wakusaidie pia
 
Huyu mtu mbona hana shukrani?

Naona analalamika tu, hata sijasikia akimshukuru Mungu na watu wa Mungu waliomchangia fedha.

Sijawahi kusikia mtu analalamika "fEDHA MLIZONIPATIA HAZIKUTOSHA, HADI NIKAONGEZEA NA ZA KWANGU".

Huu ni zaidi ya upumbavu!
😱😱😱😱😱 alikosea sana ...siku nyingine asiongeze...aache tu aendelee kuumwa......
 
Wacha chuki za kijinga, Wastara ameshukuru mara lukuki waliomchangia inatosha kama wewe ulimchangia kamdai pesa zako, ebho!

Ondoa upumbavu wako hapa mbweha wewe. Unaweza kujua nilimchangia kiasi gani? Ni binadamu gani anatanguliza malala miko eti fedha zenu hazikutosha. Pumbavu sana wewe na huyo mpumbavu mwenzio. Mbwha mkubwa.
 
Anatatizo la mguu, kichwa, mgongo na yote kwake pole sana Wastara.
 

Sijui kwanini sipendi kabisa watu wanapenda wasaidiwe wao shida zao as if wao ni special sana zaidi ya wanadamu wengine ambao tuna shida the same way!
 
Ondoa upumbavu wako hapa mbweha wewe. Unaweza kujua nilimchangia kiasi gani? Ni binadamu gani anatanguliza malala miko eti fedha zenu hazikutosha. Pumbavu sana wewe na huyo mpumbavu mwenzio. Mbwha mkubwa.
Asante sana, Mungu akubariki na kukuongezea busara na hekima.
 
Mbona katika picha zote za wastara sijapata kuona daktari wa kihindi? Kote ni madaktari weusi tu kunani?
 
Huyo Wastara aliishia darasa la ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…