Wastara afunguka kuwachukia wanaume wenye rangi nyeupe

Siku ZOTE wanawake wanawapenda WANAUME Warefu na weupe... ukiona hivyo UJUWE KISHAUMIZWA na weupe... Anaona bora awe na weusi... Hatopata STRESS.... KUMBE keshasahau kwamba hata sisi wanaume TUNACHAGUWA PIA...
 
Hivi kuna watu wakikua ndo wanakuwa hawajitambui?!
 
Huyu wastara dishi limeshayumba ni wa kuombewa kabisaaaa... Mara aseme mgongo wake huwa unahama.... Mara tena kashawahi kumwona zirailu Mara mbili yaan huyu dada ni mwehu
 
Ubaya wake ukimdai risiti yeye anadai talaka...hata hajapona kishawaza kulala na mtu bila nguo kweli kuna watu ule mchezo kwao kipaji
 
Mi mwenyewe nawachukia mademu wenye rangi ya njano.
 
Anachagua utadhani ni mwanamke mxur,wakati hana uzuri wowote
 
Huyu dada jamani fyuzi moja imeachia huko kichwani. Kila siku ana jipya. Wakitoka wanaume weusi atahamia kwa wanawake sasa.
 
Siku ZOTE wanawake wanawapenda WANAUME Warefu na weupe... ukiona hivyo UJUWE KISHAUMIZWA na weupe... Anaona bora awe na weusi... Hatopata STRESS.... KUMBE keshasahau kwamba hata sisi wanaume TUNACHAGUWA PIA...
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…