Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atuachie na sie etiAisee!
Hongera yake ndoa ya saba?
Awapunguzie na wenzie sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atuachie na sie etiAisee!
Hongera yake ndoa ya saba?
Awapunguzie na wenzie sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa inaitwaje hyoWastara atakuwa ana fanya utafiti wa PhD kwenye masuala ya ndoa
Siyo bure aki
Hahah! nakutakia kila lakheri mkuu ila mrejesho muhimu sanaHahahaaa
Eeee ndugu, tujue wenzetu huwa wanakwama nini hasa
Hahah! Kabisa aisee ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atuachie na sie eti
Mrejesho muhimu lazima nileteHahah! nakutakia kila lakheri mkuu ila mrejesho muhimu sana
Napigia mstari kwa msisitizo mkuuHata kama ndoa ni stara sometime tukae tujifikirie na tujipange.
Dah. I would feel like my genitals were being over exposed.
What is the purpose of getting married if it doesn't last for it lacks firm foundation?
Mbona kama sasa tunageuza institution ya ndoa kuwa ya kuonjana onjana tu?
Asikuambie mtu, raha ya ndoa iwe na bond ya urafiki wa kudumu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Nikimbuke kwenye pilau tuuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] na usisahau kuleta mrejesho itapo vunjika
Sawa shem lakeIla hii ni nzur ile nyingine ilikuwa imekaa kimucharuko mcharuko flani
Kuna watu wana bahati
Sawa mnafungua mwezi 7 eeeHahahaaaaa mwambie shatoka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaan ice unanivunja mbavu nimeshiba sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hakika kabisa hili jambo si la kawaida mkuu
Mara saba?
Ngoja Ney akukute[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli sita amini mpaka na mie niwepo kwa foleni
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku ice kapunguza kuna kipindi zari alibeba mimba ya nillan akasema "sasa inabidi serikali iingilie kati maana keshageuzwa incubator " mengine sikumbuki aiseee nilicheka siku nzimaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]rudi nyumbani tu tena fanya harakaShosti shetani mbayaaa ananitia majaribuni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi unamhusu wastara anatajwa bosslady daaah watu na nyota zao
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]bora nirudi home mieee