Wastara arejea, asema fedha za matibabu hazikutosha

Dah!!....

Eti kazi kujitonesha tu[emoji1]
 
Teh anazidi kulikoroga..
 
NILIKATAZWA NA MAMA YANGU NIKIWA MDOGO KUTOWADHIHAKI WALEMAVU ILA NIKUWASAIDIA IKIBIDI. NAMSHUKURU MAMA YANGU KWA MALEZI MEMA.

NINACHOKIONA HUMU KEJELI KWA MGONJWA TUMWOGOPE MWENYEZI MUNGU
Mgonjwa mwenyewe mshenzi,
 
pole sna ,Afya ndio mtaji w kwanza ,camera haina thamani mbele y Afya..
 
Uvimbe kwenye kalio

Tehe tehe tehe, we mama mbavu zangu miee! Uvimbe kwenye kalio, a.k.a. jipu linatibiwa India siku hizi!! Basi Muhimbili na Mlonganzila hazina maana achia mbali zahanati zetu zote.
 
Pole yake.
Alifanya vyema kuuza mali ili kuongezea pesa ya matibabu kwani kimfaacho mtu chake!
 
Hivi huyu Dada huwa anatembelea mahospitalini kweli?

Kuna watu wana hali mbaya na hawapati msaada wowote hata laki tano inawakosa.

Asijione special hapa duniani bali azidi kumshukuru Mungu.
 
[("Usanii" juu ya "usanii") + (kukosa "shukrani") = ("wizi" au "utapeli".]
 
Kisa ni maarufu, anatumia umaarufu wake
 
Kumbe na mimi nikiwa na hiyo [emoji328] inaweza kunisaidia!! Basi ni jambo jema kila mtu kuwa nayo.
 
Punguza sasa umalya na kutembea na waume za watu ili zegembe lako lipone na mguu wako pia upumzike
 
Nilishamuona mtaani na hyo camera inaweza kughrim milion 9...aisee bongo muv inalipa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…