Wastara arejea, asema fedha za matibabu hazikutosha

Wastara arejea, asema fedha za matibabu hazikutosha

Huyu dada huwa anashangaza sana, hivi hajui kuwa kuna watanzania maelfu walio hoi wasioweza hata kuongea au kuinuka vitandani?

Kwa Mtu mstaarabu anayejali kusaidiwa asingepaswa athubutu kusema hayo.

Ni kama wakati ule alipoumwa mwanzoni na kujitangaza akasaidiwa sana kisha akaenda tena kukata mauno na kujitonesha.

Kazi kujitonesha tu.

Asimkufuru Mungu.
Dah!!....

Eti kazi kujitonesha tu[emoji1]
 
NILIKATAZWA NA MAMA YANGU NIKIWA MDOGO KUTOWADHIHAKI WALEMAVU ILA NIKUWASAIDIA IKIBIDI. NAMSHUKURU MAMA YANGU KWA MALEZI MEMA.

NINACHOKIONA HUMU KEJELI KWA MGONJWA TUMWOGOPE MWENYEZI MUNGU
Mgonjwa mwenyewe mshenzi,
 
pole sna ,Afya ndio mtaji w kwanza ,camera haina thamani mbele y Afya..
 
Uvimbe kwenye kalio

Tehe tehe tehe, we mama mbavu zangu miee! Uvimbe kwenye kalio, a.k.a. jipu linatibiwa India siku hizi!! Basi Muhimbili na Mlonganzila hazina maana achia mbali zahanati zetu zote.
 
Pole yake.
Alifanya vyema kuuza mali ili kuongezea pesa ya matibabu kwani kimfaacho mtu chake!
 
Hivi huyu Dada huwa anatembelea mahospitalini kweli?

Kuna watu wana hali mbaya na hawapati msaada wowote hata laki tano inawakosa.

Asijione special hapa duniani bali azidi kumshukuru Mungu.
 
[("Usanii" juu ya "usanii") + (kukosa "shukrani") = ("wizi" au "utapeli".]
 
Huyu dada huwa anashangaza sana, hivi hajui kuwa kuna watanzania maelfu walio hoi wasioweza hata kuongea au kuinuka vitandani?

Kwa Mtu mstaarabu anayejali kusaidiwa asingepaswa athubutu kusema hayo.

Ni kama wakati ule alipoumwa mwanzoni na kujitangaza akasaidiwa sana kisha akaenda tena kukata mauno na kujitonesha.

Kazi kujitonesha tu.

Asimkufuru Mungu.
Kisa ni maarufu, anatumia umaarufu wake
 
Kumbe na mimi nikiwa na hiyo [emoji328] inaweza kunisaidia!! Basi ni jambo jema kila mtu kuwa nayo.
 
Punguza sasa umalya na kutembea na waume za watu ili zegembe lako lipone na mguu wako pia upumzike
 
Nilishamuona mtaani na hyo camera inaweza kughrim milion 9...aisee bongo muv inalipa....
 
Back
Top Bottom