Wastara arejea, asema fedha za matibabu hazikutosha

Wastara arejea, asema fedha za matibabu hazikutosha

Huyu dada amawakosea nini watu??? pamoja n mateso ya maradhi yanayomsumbua lakini watu wanamdhihaki!!! kawakosea nini!!!?? basi huu ni mwezi wa kwaresma na msalaba wa Yesu unatembezwa katika kila nyumba basi tumieni nafasi hiyo kumsamehe dada wa watu.. hata kama wewe sii mkristo basi ukiona msalaba huo unapita jirani yako basi tumia nafasi hiyo kumsemehe huyu dada kama amewakosea na kama hajawakoea tubuni!!!!???
Msalaba ukipita Unaleta nini? Msalaba ni Mmoja tu, ule wa Gorigotha hayo mengine ni Ibada za sanam.
Nb najua utanishambulia
 
Huyu dada amawakosea nini watu??? pamoja n mateso ya maradhi yanayomsumbua lakini watu wanamdhihaki!!! kawakosea nini!!!?? basi huu ni mwezi wa kwaresma na msalaba wa Yesu unatembezwa katika kila nyumba basi tumieni nafasi hiyo kumsamehe dada wa watu.. hata kama wewe sii mkristo basi ukiona msalaba huo unapita jirani yako basi tumia nafasi hiyo kumsemehe huyu dada kama amewakosea na kama hajawakoea tubuni!!!!???

[emoji23][emoji23][emoji23] yaani watu watubu kisa Wastara??nilidhani yeye ndio anatakiwa kutubu yaani amechangiwa matibabu ya mamilioni alafu anarudi analalama kisa kauza camera ivi unajua kuna wagonjwa wangapi wanalala chini na wapo waliopoteza maisha kwa kukosa elfu 10 ya dawa wakati yeye kaenda kutibiwa India,hajamkosea mtu ila anakera kwa kutumia changamoto yake ya mguu kama mtaji wa kutafuta huruma ya jamii.
 
Huyu Dada atakuwa na matatizo zaidi ya anavodai.

Ukiangalia historia ya magonjwa yake na marehemu mumewe utaona kabisa sio ya kawaida. Kila siku yanaibuka mapya.

Hivyo, kama kuna mtu ambae wastara alimkosea kwa namna yeyote ile akamuombe msamaha. Huenda ikasaidia.

Mengine siyakusema. Ajifanyie tathmin ya maisha yake, alikosea wapi??
 
Dar es Salaam. Msanii wa filamu, Wastara Juma amerejea nchini leo akitokea Mumbay nchini India alikokuwa anapatiwa matibabu ya mgongo na mguu na kuwashukuru Watanzania kwa namna walivyojitokeza kumchangia fedha za matibabu, ingawa hazikutosha na kulazimika kuuza baadhi ya mali zake.
View attachment 703149
Akizungumza na MCL Digital leo Machi 1, 2018 nyumbani kwake Tabata ikiwa ni saa chache baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, amesema baada ya kufika hospitali alikutwa na matatizo mengine zaidi ya aliyokuwa nayo jambo lililosababisha gharama za matibabu kuwa kubwa.

Wastara alifanikiwa kwenda kwenye matibabu hayo, Februari 3, 2018 baada ya kupata michango kutoka kwa watu mbalimbali akiwemo Rais John Magufuli aliyemchangia Sh15 milioni.

Amebainisha kuwa matatizo aliyokutwa nayo ni pamoja na uvimbe chini ya kalio na kwamba, ndilo lilikuwa sababu ya kukaukiwa damu pamoja na kubainika kuwa na uvimbe kichwani uliotokana na kupata ajali zaidi ya mara tatu.

“Kutokana na matatizo haya ilifika mahali pesa nilizokwenda nazo ziliniishia na kulazimika kuwaomba ndugu zangu wauze baadhi ya mali zangu, ikiwemo kamera ili niweze kuendelea na matibabu,” amesema.

“Mtu umeshafika kwenye matibabu tena nchi za watu unafanyaje? Kurudi bila kutibiwa huwezi. Nililazimika kuwasiliana na ndugu zangu ili wauze baadhi ya vitu vyangu niweze kutibiwa maana afya yangu ni muhimu kuliko kamera.”

Pesa hazikutosha kwani ni nani ambaye alipoulizwa gharama zote za matibabu ni Kiasi gani kisha akakitaja chote na kukabidhiwa hicho hicho na tena huku Wadau wengine wachache wakimchangia? Nimekuwa nikijaribu mno kuifuatilia Historia ya aliyekuwa Rais wa Uganda Hayati Nduli Idi Amin Dada na kutaka kujua ni kwanini mara nyingi sana alikuwa akipenda Kuwauwa kwa kuwapiga Risasi wajinga wajinga na wasiojitambua wote nchini Kwake ili kutowaambukiza na wengine huo Upuuzi / Upupu wao na sasa nimemwelewa. R.I.P Kwake Nduli.
 
Dar es Salaam. Msanii wa filamu, Wastara Juma amerejea nchini leo akitokea Mumbay nchini India alikokuwa anapatiwa matibabu ya mgongo na mguu na kuwashukuru Watanzania kwa namna walivyojitokeza kumchangia fedha za matibabu, ingawa hazikutosha na kulazimika kuuza baadhi ya mali zake.
View attachment 703149
Akizungumza na MCL Digital leo Machi 1, 2018 nyumbani kwake Tabata ikiwa ni saa chache baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, amesema baada ya kufika hospitali alikutwa na matatizo mengine zaidi ya aliyokuwa nayo jambo lililosababisha gharama za matibabu kuwa kubwa.

Wastara alifanikiwa kwenda kwenye matibabu hayo, Februari 3, 2018 baada ya kupata michango kutoka kwa watu mbalimbali akiwemo Rais John Magufuli aliyemchangia Sh15 milioni.

Amebainisha kuwa matatizo aliyokutwa nayo ni pamoja na uvimbe chini ya kalio na kwamba, ndilo lilikuwa sababu ya kukaukiwa damu pamoja na kubainika kuwa na uvimbe kichwani uliotokana na kupata ajali zaidi ya mara tatu.

“Kutokana na matatizo haya ilifika mahali pesa nilizokwenda nazo ziliniishia na kulazimika kuwaomba ndugu zangu wauze baadhi ya mali zangu, ikiwemo kamera ili niweze kuendelea na matibabu,” amesema.

“Mtu umeshafika kwenye matibabu tena nchi za watu unafanyaje? Kurudi bila kutibiwa huwezi. Nililazimika kuwasiliana na ndugu zangu ili wauze baadhi ya vitu vyangu niweze kutibiwa maana afya yangu ni muhimu kuliko kamera.”

Huyu dada angempokea bwana Yesu, kwa Hakika angekuwa bwana na mwokozi wa Yale yote anayohangaika nayo maana Yesu ndio mbeba mizigo yote migumu iliyowashinda wanadam wote…
 
Huyu dada amawakosea nini watu??? pamoja n mateso ya maradhi yanayomsumbua lakini watu wanamdhihaki!!! kawakosea nini!!!?? basi huu ni mwezi wa kwaresma na msalaba wa Yesu unatembezwa katika kila nyumba basi tumieni nafasi hiyo kumsamehe dada wa watu.. hata kama wewe sii mkristo basi ukiona msalaba huo unapita jirani yako basi tumia nafasi hiyo kumsemehe huyu dada kama amewakosea na kama hajawakoea tubuni!!!!???
Tuko pamoja mkuu
 
Matibabu mengine amalizie apo Mwananyamala
 
DAH! ILA WASTARA ANATUDEKEA WATANZANIA.. HAPO ALIPOSEMA HELA HAIKUTOSHA IKAMBIDI AUZE CAMERA YAKE.. TAFSIRI YAKE NI KAMA 'SISI WATZ NI WAZAZ WAKE NA TUMESHNDWA KUMHUDUMIA MPK AKALAZIMIKA KUUZA KAMERA YAKE'

WASTARA INGETOSHA KUSEMA, UNAWASHUKURU WATZ KWA KUKUCHANGIA TIBA.. MENGNE UNGEBAK NAYO MOYON.
 
Hili janamke huwa Bwenge sana.
Ndiyo maana watu walikuwa wanabeza wakati akihitaji msaada wakati mali za kumsaidia zilikuwapo.

Anajiona yeye wa thamani kiasi watu wauze mali zao kwa ajili yake .

Nashindwa kumlaumu sana maana sifahamu elimu yake japo elimu ya mtu sio kipimo cha busara na uelewa.

Huyu mwanamke ndio nadhani anaongoza kwa kuolewa na kudumu mwezi kila anapoolewa.

Lazima atakuwa na matatizo mazito ambayo wanaume wengi huwa hawaelezi.
 
money-banking-economy-beggars-beg-economic_downturn-recession-ksmn3403_low.jpg
 
BINADAMU TUMEFIKIA DHIHAKA YA NAMNA HII KWA MTU ALIYEPATA AJALI YA MGUU NA NYINGINEZO. HIVI WATANZANIA TUMEFIKA HAPO.

MWENYEZI MUNGU AKUPE NAFUU BI WASTARA UPONE SHIDA ZA AFYA ZINAZOKUSIMBUA. AMIN
 
NILIKATAZWA NA MAMA YANGU NIKIWA MDOGO KUTOWADHIHAKI WALEMAVU ILA NIKUWASAIDIA IKIBIDI. NAMSHUKURU MAMA YANGU KWA MALEZI MEMA.

NINACHOKIONA HUMU KEJELI KWA MGONJWA TUMWOGOPE MWENYEZI MUNGU
 
Back
Top Bottom